MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Ndugu wana ARUSHA!
Natangaza rasmi kuwa nitagombea ubunge wa jimbo la ARUSHA MJINI 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),
huu ni uamuzi wangu binafsi na wa kidemokrasia kwa kuzingatia misingi ya sheria na katiba ya nchi pamoja na ya chama changu,
ninaamini ninazo hoja za msingi, uwezo na kipaji cha kipekee katika kutimiza azma yangu ya kuwatumikia wana Arusha na Taifa kwa ujumla.
Ninaamini ya kuwa, yapo mambo ya msingi sana ambayo yanahitaji uwepo wangu wa moja kwa moja katika kuyafanya na kuyasimamia mwenyewe kwani mtu mwingine hawezi kufanya kwa weledi kama nilivyokusudia mimi.
Natambua mengi mema aliyoyafaya na anayoyafanya Mhe LEMA, lakini pia ikumbukwe uwezo wetu wa kufikiri ni tofauti, anayoyafikiri Mhe LEMA inaweza isiwe ndivyo ninayofikiri mimi,
*NATAMANI KUONA MATUMAINI MAPYA KATIKA ARUSHA NA TAIFA LANGU,
*NATAMANI KUONA FIKRA MPYA NA ZENYE UHAI KATIKA NCHI,
*NATAMANI KIZAZI CHENYE MITAZAMO CHANYA KWA KUMAANISHA,
*NATAMANI KUONA MATOKEO MAPYA NA MATUNDA MEMA KATIKA VIWANGO VYA JUU ZAIDI KWA MAENDELEO YA ARUSHA NA TAIFA ZIMA,
NB: CHANGAMOTO HAI NA ZENYE MANUFAA HULETWA NA KIZAZI KINACHOFIKIRI SAWASAWA, mimi ni mmoja wapo.
Natambua ugumu uliopo katika safari hii hasa ikizingatiwa kuwa Mhe Lema ana wafuasi wengi, jambo hili ninanipa fursa nzuri ya kujiandaa vyema kama ilivyosemwa "BELIEF CREATES THE ACTUAL FACT" ALBERT EINSTEIN.
wenu
MWANAWAVITTO
Natangaza rasmi kuwa nitagombea ubunge wa jimbo la ARUSHA MJINI 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),
huu ni uamuzi wangu binafsi na wa kidemokrasia kwa kuzingatia misingi ya sheria na katiba ya nchi pamoja na ya chama changu,
ninaamini ninazo hoja za msingi, uwezo na kipaji cha kipekee katika kutimiza azma yangu ya kuwatumikia wana Arusha na Taifa kwa ujumla.
Ninaamini ya kuwa, yapo mambo ya msingi sana ambayo yanahitaji uwepo wangu wa moja kwa moja katika kuyafanya na kuyasimamia mwenyewe kwani mtu mwingine hawezi kufanya kwa weledi kama nilivyokusudia mimi.
Natambua mengi mema aliyoyafaya na anayoyafanya Mhe LEMA, lakini pia ikumbukwe uwezo wetu wa kufikiri ni tofauti, anayoyafikiri Mhe LEMA inaweza isiwe ndivyo ninayofikiri mimi,
*NATAMANI KUONA MATUMAINI MAPYA KATIKA ARUSHA NA TAIFA LANGU,
*NATAMANI KUONA FIKRA MPYA NA ZENYE UHAI KATIKA NCHI,
*NATAMANI KIZAZI CHENYE MITAZAMO CHANYA KWA KUMAANISHA,
*NATAMANI KUONA MATOKEO MAPYA NA MATUNDA MEMA KATIKA VIWANGO VYA JUU ZAIDI KWA MAENDELEO YA ARUSHA NA TAIFA ZIMA,
NB: CHANGAMOTO HAI NA ZENYE MANUFAA HULETWA NA KIZAZI KINACHOFIKIRI SAWASAWA, mimi ni mmoja wapo.
Natambua ugumu uliopo katika safari hii hasa ikizingatiwa kuwa Mhe Lema ana wafuasi wengi, jambo hili ninanipa fursa nzuri ya kujiandaa vyema kama ilivyosemwa "BELIEF CREATES THE ACTUAL FACT" ALBERT EINSTEIN.
wenu
MWANAWAVITTO