Nitapambana na mhe Godbless Lema 2015

Nitapambana na mhe Godbless Lema 2015

Ndugu wana ARUSHA!

Natangaza rasmi kuwa nitagombea ubunge wa jimbo la ARUSHA MJINI 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),

huu ni uamuzi wangu binafsi na wa kidemokrasia kwa kuzingatia misingi ya sheria na katiba ya nchi pamoja na ya chama changu,

ninaamini ninazo hoja za msingi, uwezo na kipaji cha kipekee katika kutimiza azma yangu ya kuwatumikia wana Arusha na Taifa kwa ujumla.

Ninaamini ya kuwa, yapo mambo ya msingi sana ambayo yanahitaji uwepo wangu wa moja kwa moja katika kuyafanya na kuyasimamia mwenyewe kwani mtu mwingine hawezi kufanya kwa weledi kama nilivyokusudia mimi.

Natambua mengi mema aliyoyafaya na anayoyafanya Mhe LEMA, lakini pia ikumbukwe uwezo wetu wa kufikiri ni tofauti, anayoyafikiri Mhe LEMA inaweza isiwe ndivyo ninayofikiri mimi,

*NATAMANI KUONA MATUMAINI MAPYA KATIKA ARUSHA NA TAIFA LANGU,

*NATAMANI KUONA FIKRA MPYA NA ZENYE UHAI KATIKA NCHI,

*NATAMANI KIZAZI CHENYE MITAZAMO CHANYA KWA KUMAANISHA,

*NATAMANI KUONA MATOKEO MAPYA NA MATUNDA MEMA KATIKA VIWANGO VYA JUU ZAIDI KWA MAENDELEO YA ARUSHA NA TAIFA ZIMA,

NB: CHANGAMOTO HAI NA ZENYE MANUFAA HULETWA NA KIZAZI KINACHOFIKIRI SAWASAWA, mimi ni mmoja wapo.

Natambua ugumu uliopo katika safari hii hasa ikizingatiwa kuwa Mhe Lema ana wafuasi wengi, jambo hili ninanipa fursa nzuri ya kujiandaa vyema kama ilivyosemwa "BELIEF CREATES THE ACTUAL FACT" ALBERT EINSTEIN.

wenu
MWANAWAVITTO

Kama una nia ya dhati si ungetaja jina lako na kuwela picha kabisa nashangaa unatoa tamko huku ukiwa umejificha ni nini hasa unaogopa?
 
Hilo jimbo litarudi ccm, piga ua garagaza. Hutaki unaacha
Acha usngizi wa maluelue kwani wakufanya waota ndoto za alinacha,ndoto za maruerue ambazo ni heri ya ndoto za mchana.Mara hii ushasahau kipigo cha 4-bila???Mwee!!!
 
Kama una nia ya dhati si ungetaja jina lako na kuwela picha kabisa nashangaa unatoa tamko huku ukiwa umejificha ni nini hasa unaogopa?

nadhani utaridhika. Jina langu ni hilo hilo
 
Kikamanda zaidi.jpg
Mbona uliamua kujibinua mimi nimekuweka sawa.
 
Kwi kwi kwiiiiiiiii! Nilifikiri mtoa mada unatania kumbe umepania hahahahahaaaaaaaaaah! Yani hauna tofauti na mtu anayefikiri kuwa HILUX (pick up) ikikua inazuka FUSO.Mimi ndg yako labda nikusaidie tu maana usije ukapoteza muda na nguvu nyingi kutetea hoja yako hii,Kwa jinsi Lema alivyokubalika kwa wapiga kura wake wa Arusha mjini hadi kufikia hivi sasa hana mpinzani iwe ndani au nje ya CDM.Pamoja na kuwa hadi kufikia hapa ushajivua sifa ya kuwa mwanachama mtiifu kwa kukiuka taratibu za ndani za chama lkn bila kupepesa macho na kutafuna maneno nikuonye tu kuwa LEMA si size yako na kikubwa hapa nakushauri ukajifunze HADABU.
 
"unity?"

sidhani kama unatambua vema ni nini maana ya neno unity. Hapa hakuna confusion kwani confusion inakuja pale tunapoacha kuteteana na kukipigania chama! Hapo ndipo unity ina disappear,

unity ku disappear huanza hivi hivi, mabishano madogo madogo kama unayoyaleta....kwa pretext za kifalsafa ilhali wajua wapiga kura wako wengi pale arusha ni mambumbumbu hawatakuelewa wanamwona mhuni wao kuwa bonge la mbuge. ..............anyway...goodluck
 
MWANAWAVITTO kwanza unaonekana kichaa zaidi ya Lema, psychologically disperated. Nakushauri uongeze kula 'MAJANI' ili ufikie ukichaa wa mwenzako Godbless Lema.
 
Last edited by a moderator:
Lema kapambana na arusha imemkubali nakuomba utupe ata nafasi uliyowahi kushika katika huongozi wowote
 
Mimi nakubali ugombee maana ni haki yako....
Lakini kwa sababu unatafuta kuutumiki umma ni vyema ukaja kwa ID yenye jina lako kamili!
Huna haja ya akujificha!
 
Mtoa mada hasitupasue vichwa kwani yeye ni GAMBA anatafuta buku 7 ya chai
 
Arusha ni Lema na Lema ni Arusha kwa sasa nadhan hata CCM hawatasimamisha mtu 2015 sababu ya Lema. Nakushauri sogea Arumeru magharibi tukuchuje kwanza.
 
Lema kapambana na arusha imemkubali nakuomba utupe ata nafasi uliyowahi kushika katika huongozi wowote

Kwanza tumpongeze kwa kuonyesha nia ya kupambana na jabali! Lema kabla alishika wadhifa gani tusipende kuuliza mtu alichofanya wakati lema anakubalika wakati kabla hakuwa historia kubwa

Muacheni atumie haki yake kikatiba apate uzoefu wa kupambana na jabali japo nina uhakika hakuna wakumtoa Lema Arusha si nje wala ndani ya CHADEMA.
 
Kwi kwi kwiiiiiiiii! Nilifikiri mtoa mada unatania kumbe umepania hahahahahaaaaaaaaaah! Yani hauna tofauti na mtu anayefikiri kuwa HILUX (pick up) ikikua inazuka FUSO.Mimi ndg yako labda nikusaidie tu maana usije ukapoteza muda na nguvu nyingi kutetea hoja yako hii,Kwa jinsi Lema alivyokubalika kwa wapiga kura wake wa Arusha mjini hadi kufikia hivi sasa hana mpinzani iwe ndani au nje ya CDM.Pamoja na kuwa hadi kufikia hapa ushajivua sifa ya kuwa mwanachama mtiifu kwa kukiuka taratibu za ndani za chama lkn bila kupepesa macho na kutafuna maneno nikuonye tu kuwa LEMA si size yako na kikubwa hapa nakushauri ukajifunze HADABU.

ninaamini katika kushinda sikuzote, sijawahi kushindwa kwani I HAVE POWER,
 
Kwanza tumpongeze kwa kuonyesha nia ya kupambana na jabali! Lema kabla alishika wadhifa gani tusipende kuuliza mtu alichofanya wakati lema anakubalika wakati kabla hakuwa historia kubwa

Muacheni atumie haki yake kikatiba apate uzoefu wa kupambana na jabali japo nina uhakika hakuna wakumtoa Lema Arusha si nje wala ndani ya CHADEMA.


huo ni mtazamo tu!

Nguvu ya LEMA inatoka kwa watu, mmoja wapo ni mimi,

"BELIEF CREATES THE ACTUAL FACT"
 
Tunakukaribisha kama ulivyosema wewe ni mpiganaji ili ukafanye ukombozi kama wewe ni jembe jimbo la Arumeru Magharibi ambayo nayo iko mjini Arusha na makazi yako yatabaki jijini tu, au nenda Monduli nako siyo mbali na jijini Arusha, utakuwa na support kubwa ya wana Arusha. Sioni kwa nini ung'ang'anie Arusha mjini wakati Arumeru ni Arusha mjini au unakereka kumwona Lema akiwachachafya CCM kwa hiyo unataka kumwondoa. Kama utakubaliana na ushauri wangu nitakuona sawa ila kama bado unataka Arusha mjini una lako jambo na si kamanda mwenzetu

Ndugu wana ARUSHA!

Natangaza rasmi kuwa nitagombea ubunge wa jimbo la ARUSHA MJINI 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),

huu ni uamuzi wangu binafsi na wa kidemokrasia kwa kuzingatia misingi ya sheria na katiba ya nchi pamoja na ya chama changu,

ninaamini ninazo hoja za msingi, uwezo na kipaji cha kipekee katika kutimiza azma yangu ya kuwatumikia wana Arusha na Taifa kwa ujumla.

Ninaamini ya kuwa, yapo mambo ya msingi sana ambayo yanahitaji uwepo wangu wa moja kwa moja katika kuyafanya na kuyasimamia mwenyewe kwani mtu mwingine hawezi kufanya kwa weledi kama nilivyokusudia mimi.

Natambua mengi mema aliyoyafaya na anayoyafanya Mhe LEMA, lakini pia ikumbukwe uwezo wetu wa kufikiri ni tofauti, anayoyafikiri Mhe LEMA inaweza isiwe ndivyo ninayofikiri mimi,

*NATAMANI KUONA MATUMAINI MAPYA KATIKA ARUSHA NA TAIFA LANGU,

*NATAMANI KUONA FIKRA MPYA NA ZENYE UHAI KATIKA NCHI,

*NATAMANI KIZAZI CHENYE MITAZAMO CHANYA KWA KUMAANISHA,

*NATAMANI KUONA MATOKEO MAPYA NA MATUNDA MEMA KATIKA VIWANGO VYA JUU ZAIDI KWA MAENDELEO YA ARUSHA NA TAIFA ZIMA,

NB: CHANGAMOTO HAI NA ZENYE MANUFAA HULETWA NA KIZAZI KINACHOFIKIRI SAWASAWA, mimi ni mmoja wapo.

Natambua ugumu uliopo katika safari hii hasa ikizingatiwa kuwa Mhe Lema ana wafuasi wengi, jambo hili ninanipa fursa nzuri ya kujiandaa vyema kama ilivyosemwa "BELIEF CREATES THE ACTUAL FACT" ALBERT EINSTEIN.

wenu
MWANAWAVITTO
 
Back
Top Bottom