Msabaha lk
Member
- Apr 21, 2012
- 84
- 21
Nimeipenda hii kauli ya huyu jamaa aliyepindua nchi na kudai kuwa ataongoza kama apendavyo kwani katiba ya nchi hiyo ameipiga chini, nadhani kagundua akiifuata nchi itayumba kwani ni kama katiba yetu ambayo hata mwizi wa mabilioni katiba inadai arudishe mwenyewe kabla hamjamshauri astafu kwa manufaa ya umaa. Nimeipenda!