Nitaondoaje 'Tracking Cookies' katika PC yangu?

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,489
79
Wakuu,
Comp yangu imekuwa kimeo siku hizi ila nilikuwa natumia ESET NOD32 Business edition, na nikaona nibadili na sasa natumia AVG internet security. Baada ya kuscan PC yangu dah imefuta (back-ups zangu) ".exe" zote ambazo zilikuwa na keygen (inasema ni trojan) na pia inaniambia kwamba eti kuna tracking cookies ambazo ni hatari kwa PC yangu.


Naombeni msaada hizi tracking cookies ndiyo inamaanisha kwamba hackers wananichungulia katika PC yangu au ni vipi? Na je kuna namna ya kuzitoa manake hapa sioni option ya kuzi-clear!

Asanteni!


 
Tracking cookies sio hatari, zinawekwa na website kama google unapotembelea site zao, zinawawezesha kukuonesha matangazo ambayo yanaendana na sehemu ulizotembelea kwenye mtandao. Kuna concern ya privacy, lakini haziwezi kufanya chochote na compyuta yako ni text files tu.

Kufuta Cookies unafanya kwenye Browser unayotumia, kama firefox ni Tools > Clear Recent history. IE ni similar.

Ni kweli keygen mara nyingi inakuwa imepandikizwa trojan/virus hakuna kitu cha bure! hizi ndo hatari.
 
Ni kweli keygen mara nyingi inakuwa imepandikizwa trojan/virus hakuna kitu cha bure! hizi ndo hatari.
dah, bora niachane nayo haya ma-keygen! vya bure kweli ni gharama!
 
kwani nini unahangaike na key gen wakati keys zipo?

Qn
Kitu kingine antivirus yako ina maana ikigundua threat inafuta au inalihamisha suspected file na kuliweka sehemu ambapo haliwezi kuwa na madhara?

Nijuavayo mimi ativirus nyingi default set up ya any detection ya threat ni ku move suspected file kwenye safe location . unless wewe uli set kuwa any threat detected iwe deleted. wich is not good.

Ninaamini hizo keygen program zako zitakuwa moved somewhere baada ya antivirus kushindwa kuziclean


NB:

Sio mara zote hizi antivirus zinapo detect file liwe ni virus au threat mfano kuna hizi result zinaweza kuwa:

- A FALSE POSITIVE is identifying a file as a virus when it is not a virus or a threat.

- A FALSE NEGATIVE is one in which the software fails to indicate that an infected object is infected.-This is very bad.


So Antivirus sofware nyingine zinanijengea jina kwa style ya ku report FALSE positive.

kwa maelezo haya machache mchangiaji wa kwanza (Kang) anaweza kuwa yuko sahii kuwa hizo keygen zina wadudu lakini inawezekana hizo keygen haizna wadudu ila jinsi antivirus ilivyotengenzwa kutambua wadudu basi ikaona hizo keygen kama mdudu wakati sio kweli.Nashawishika kusema hivi sababu the way program logic za keygen zilivyo.

Mfano
Ni kama uwe na Macfee na Norton kwenye mashine. Lazima zitaonana kama virus au threat.
 
Wakuu,
.....
Naombeni msaada hizi tracking cookies ndiyo inamaanisha kwamba hackers wananichungulia katika PC yangu au ni vipi? Na je kuna namna ya kuzitoa manake hapa sioni option ya kuzi-clear!

Asanteni!



Naomba nitoe commet kuhusu cookies, as an Internet tracking mechanism:

If you don’t want to be profiled while you are on-line, it is best to find away disable cookies. And YES, you should be worried about them. To start, here is a link to a wiki explaining in a nutshell what cookies are:

[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/HTTP_cookie[/ame]


Cookies play an important role in allowing companies like Google and Microsoft to sell your “browsing habits” to on-line advertiser. By knowing your “browsing habits”, a company can send you targeted advertisements, which are more effective that just send shit you are not interested. Google also use this type of information to optimize their search engine.

While this may seem harmful, there is however a negative side to it. For example, your “browsing habits” makes it easier for someone to identify you online/on the Internet, hence you loose your privacy. Something like: "Bwana Mseku anausudu ngono za kijapani, Kila mwezi ananunua vipodo na kuvituma address ya SA, anachukia sana wadosi, anatafuta kununua bastola, na anatafuta tiketi ya kwenda Yemen..."

Read this story on NY Times about a woman who got revealed based on her Internet search habits:

http://query.nytimes.com/gst/fullpage.html?res=9E0CE3DD1F3FF93AA3575BC0A9609C8B63


What you have raised is indeed critical and something to be concerned. But, I wouldn’t be so paranoid about it.

Here is what I always as a precaution:

1. At an internet café, I always clear all cookies and history, so that the next person using the PC does not have any reference to my “browsing habits” or my login passwords (just incase I did allow the browser to save my passwd).

2. When surfing the net at home, I disable cookies, unless a website demands I should have it enabled (and clear them after I finished surfing).

Mbongo Mwenzako
 
Here is what I always as a precaution:

1. At an internet café, I always clear all cookies and history, so that the next person using the PC does not have any reference to my “browsing habits” or my login passwords (just incase I did allow the browser to save my passwd).

2. When surfing the net at home, I disable cookies, unless a website demands I should have it enabled (and clear them after I finished surfing).

Mbongo Mwenzako
asante mkuu!
 
Waungwana binafsi nawashukuru sana mnaotumia muda wenu kutusaidia tunapokuwa na matatizo.
Nina swali dogo for curiosity sake,iwapo tracking cookies sio harmful na zinatumiwa na makampuni kupenyeza matangazo yao mbona matangazo yanakuja kwenye e mail yangu wakati na access website tofauti nikiwa sijafungua e-mail yangu?
Watu wa viagra wananisumbua mno na matangazo na sijawahi kusema kuwa jongoo kashindwa.
 
Watu wa viagra wananisumbua mno na matangazo na sijawahi kusema kuwa jongoo kashindwa.
hahahahahaha mkuu pole sana, wajibu kwamba wewe jogoo lako linawika na wataacha tu, au ukipokea email kama hiyo just click spam!!!
 
Waungwana binafsi nawashukuru sana mnaotumia muda wenu kutusaidia tunapokuwa na matatizo.
Nina swali dogo for curiosity sake,iwapo tracking cookies sio harmful na zinatumiwa na makampuni kupenyeza matangazo yao mbona matangazo yanakuja kwenye e mail yangu wakati na access website tofauti nikiwa sijafungua e-mail yangu?
Watu wa viagra wananisumbua mno na matangazo na sijawahi kusema kuwa jongoo kashindwa.

Tracking cookies hazihusiani na emails unazopata (SPAM). Kupunguza spam jaribu yafuatayo.


  • Usiipost email yako sehemu yoyote mtandaoni, kama vile Forum. Spammers wanapita forums wanakusanya emails.
  • Usijiendikishe kwenye website na newsletter za kizushi, wanauza emails kwa spammers.
  • Usitume chain letters, zile emails za "a new virus blah blah".
  • Usijibu SPAM, ukijibu wanajua email iko valid, ndo wanazidi kukutumia.
  • Tumia emails kadhaa, moja ya kazi, moja ya kujiandikisha sehemu kama forums etc, moja ya marafiki/familia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom