kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Habarini wana jamvi...
Natumai mu wazima wa afya kabisa na Mungu anasaidia katika mihangaiko yetu.
Aaiiiseee nimekaa nimefikiria kiundani zaidi. Nimeona mimi kama kijana wa kiume kuna umuhimu wa kuowa.
Kwa upande nimeamua kwamba nitaowa kwa ajili ya mambo mawili:
1. Kuwa na Familia bora yenye miongozo yote bora kwangu kama baba wa familia.
2. Kuzidi kufanikiwa kwenye maisha yangu..
Nimeamua bila kushurutishwa na mtu. Kuwa Endapo mwanamke ntakuwa nimezaa nae watoto kuanzia wawili nitakuwa radhi kumuachia Au kugawana kama atataka pale tutakapoamua kutengana .
NB: Mniombee kwa sababu ndo kwanza dawa inaingia.
Natumai mu wazima wa afya kabisa na Mungu anasaidia katika mihangaiko yetu.
Aaiiiseee nimekaa nimefikiria kiundani zaidi. Nimeona mimi kama kijana wa kiume kuna umuhimu wa kuowa.
Kwa upande nimeamua kwamba nitaowa kwa ajili ya mambo mawili:
1. Kuwa na Familia bora yenye miongozo yote bora kwangu kama baba wa familia.
2. Kuzidi kufanikiwa kwenye maisha yangu..
Nimeamua bila kushurutishwa na mtu. Kuwa Endapo mwanamke ntakuwa nimezaa nae watoto kuanzia wawili nitakuwa radhi kumuachia Au kugawana kama atataka pale tutakapoamua kutengana .
NB: Mniombee kwa sababu ndo kwanza dawa inaingia.