Nilivyomtongoza nilimtamani kama wanaume wengi wanavyotamani, na kama ujuavyo wadada wanakuaga wagumu so watakiwa ongeza na uongo flani na ikibidi ahadi fulani ili akukubalie. Sasa hebu nishauri ndugu nijiachanishe vipi basi mana nahisi sielewielewi.katika mapenzi hakuna majaribio, ukilianzisha lazima ulimudu .. na katika mapenzi huwa kuna kupendana , kupendwa au kupenda , kama yeye kapenda na kafika badili mawaso yako kwani naamini hadi ulipomtongoza ulimpenda na ulikuwa na hisia nae .. hivyo elekeza majeshi huko
Ajiue kwaajili ya kupenda??wangekufa romeo na juliet kwanza....tungeshakufa wengi aisee!!Nikimwanzishiaga stori hizo tu anitishiaga atajiua!
22nd August 2012:
Ulikuja na sredi namna ulivyotiwa umasikini kutokana na mapenzi, sijui kama yule demu wako "ex workmate" alifanikiwa kujifungua.
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/311905-mapenzi-yalivonitia-umasikini.html
Ni kweli ex workmate wangu alinifanya niingie majanga makubwaa maishani ambayo sitoweza yasahau. Na mpaka nikawa member wa jf ili nipate ushauri, na ndo sababu ya kujiita hiyo user name. Lakini sasa yameisha.
Kwani umeelewaje?wewe! unasemaje?
Nilivyomtongoza nilimtamani kama wanaume wengi wanavyotamani, na kama ujuavyo wadada wanakuaga wagumu so watakiwa ongeza na uongo flani na ikibidi ahadi fulani ili akukubalie. Sasa hebu nishauri ndugu nijiachanishe vipi basi mana nahisi sielewielewi.
Kweli umeongea kitu cha maana sana, sie wanaume tukipendwa huwa tunavimba sana kichwa na kujiona kwamba sie ni mahandsome sana, tunakuwa na nyodo kuliko hata wanawakemkipendwa..oohhh anakaba mpaka penalt
msipopendwa...oohh..wanawake wa siku hizi hawana mapenzi ya kweli!
sijui wanaume wengine mkoje
Ajiue kwaajili ya kupenda??wangekufa romeo na juliet kwanza....tungeshakufa wengi aisee!!
Kwani umeelewaje?
Bwana mdogo kumbuka hayo unayotaka kumfanyia mwenzio ipo siku na wewe utakuja kufanyiwa na wanawake na utajuta kuzaliwa, sio tabia nzuri ya kuumiza wenzio bila sababu ya msingi. Shukuru sana Mungu wako amekupatia mwanamke anayekupenda toka moyoni, haijalishi hali yake ya uchumi, elimu yake na rangi yake, unachotakiwa kukifanya komaa na huyo binti dogo acha kuhangaika na wanawake hawa kwani utakuja kuishia pabaya na hutokuja kupenda tenaBasi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
mimi nimeelewa kuwa na wewe kuna nyakati ulishataka kujitoa roho kwasababu ya mapenzi ila ukapata:help:Kwani umeelewaje?
Ajiue kwaajili ya kupenda??wangekufa romeo na juliet kwanza....tungeshakufa wengi aisee!!
Kweli umeongea kitu cha maana sana, sie wanaume tukipendwa huwa tunavimba sana kichwa na kujiona kwamba sie ni mahandsome sana, tunakuwa na nyodo kuliko hata wanawake
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
Sasa hebu nishauri ndugu nijiachanishe vipi basi mana nahisi sielewielewi.
Hata mimi sipendi, Na ninajutia hili, na linaniuma sana. Ndio maana nataka ku stop swala hili. Tatizo ni jinsi ya kuachana nalo.
kama unavyochezea za kwangu! yaani nikiona ka avatar kako hako nadhani ni wewe basi hisia juu, yaani wewe!