Nitamwachaje Huyu binti?

Nitamwachaje Huyu binti?

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,628
Reaction score
4,970
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
 
mwambi ukweli tu humtaki...unaweza uporomoshewe matusi au kipigo lkn si mbaya kwa siku moja lol...Ukitaka cha mvunguni shurti uiname....
 
Kama bado upo upo nae anasubiri, tatizo hutaki kumwambia ukweli kwa kigezo cha kukusaidia siku unazohitaji kuwa nae.
 
mwambi ukweli tu humtaki...unaweza uporomoshewe matusi au kipigo lkn si mbaya kwa siku moja lol...Ukitaka cha mvunguni shurti uiname....
Nikimwanzishiaga stori hizo tu anitishiaga atajiua!
 
Ulilikoroga utalinywa, kwanin uchezee hisia za binti wa watu. Ushauri wangu uendelee kuwepo nae si unasema bado upo upo
 
Ulilikoroga utalinywa, kwanin uchezee hisia za binti wa watu. Ushauri wangu uendelee kuwepo nae si unasema bado upo upo
No pesa ndogo, Naomba busara zako nishauri mbinu zipi nizitumie niachane nae bila madhara, yeye hataki kuwepowepo. Anaforce tufanye marriage.
 
Siwapendi watu wanaochezea hisia za wenzao!
Hata mimi sipendi, Na ninajutia hili, na linaniuma sana. Ndio maana nataka ku stop swala hili. Tatizo ni jinsi ya kuachana nalo.
 
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
Ujifunze cku nyingine usimjaribu mtu ktk mpnz. Pia huyo dada analazimisha au hajui ktk mpnz ni all about feelings na sio kulazimisha. Mwambie umeshaoa.
 
Kuliko kumpa mtu moyo wangu wote ni bora nifanye biziness tu na huu mradi wangu nilio pewa na Mungu hata siku serikali ikisema tulipie kdi me nitakuwa wakwanza kulipia kdi kuliko hii dhuluma tunayofanyiwa sie tunaojua kupenda
 
katika mapenzi hakuna majaribio, ukilianzisha lazima ulimudu .. na katika mapenzi huwa kuna kupendana , kupendwa au kupenda , kama yeye kapenda na kafika badili mawaso yako kwani naamini hadi ulipomtongoza ulimpenda na ulikuwa na hisia nae .. hivyo elekeza majeshi huko
 
Back
Top Bottom