KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Basi hakikisha unatia kabari zote za huyo umpendae! Jaribu nafasi nyengine hata usiende kumuomba msamaha ila hakikisha msamaha anautoa kwa kupenda na sio kuombwa!!Kuna mtu,yupo,tayari,kunioa,na anajua nina,mtoto ila mi simpendi kabisa,sina hisia nae,na moyo unakataa,kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mtoto wa kike unajua udhaifu wa sie wanaume na vilevile unamjua vilivyo x wako!.. hakikisha unamuonyesha unampenda kwa vitendo piga mizengwe ya maana fanya visa vizuri mbele yake!.
Babaika juu yake mkumbushe maneno matamu kwa hisia kali, mkumbushe visa vyenu vizuri kwa maneno matamu!