Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,321
- 17,821
msalimie mwambie naumwa tena sbb ya kummiss sijui nguo zake wameziloweka tena!yaani hommie wako ananiweka roho juu kweli,sili silali namuwaza tuuu!
safari hii nilikuwa kibiti mpenzi, tigo naona haijafika huko ningekucheki,
mimi hapa sasa.....nasikia kuna vijana walipita kuomba maji ya kunywa?