Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

msalimie mwambie naumwa tena sbb ya kummiss sijui nguo zake wameziloweka tena!yaani hommie wako ananiweka roho juu kweli,sili silali namuwaza tuuu!

safari hii nilikuwa kibiti mpenzi, tigo naona haijafika huko ningekucheki,:D

mimi hapa sasa.....nasikia kuna vijana walipita kuomba maji ya kunywa?:confused:
 
Mwenye mvuto kama FL,
Mpole na mwenye ngozi nyororo kama Lily Flower,
Swagger unyenyekevu na upole kama za JS,
Ateme nondo za ukweli kama WOS,
Mcha Mungu kama Charity,
Mwenye umbile la kibantu kama CheusiMangara.
Mchesi na mwenye kujituma jamvini kama BHT,
Mwenye msimamo usioyumba kama Preta,
Mfia nchi kama Gender Sensitive,
Asijichanganye na jinsia yake kama itei tei lya kite.
Mwenye kujali watoto asiwaache Arusha kama Nyamayao.
Mwenye kuota umilionea kama Binti Maringo.
Awe mshereheshaji wa kicheni Pati ya JF kama Maria Roza
Awe anajua kuimba(Vocalist) kama MAHAI.

Nitampata wapi huyu bibiye.
Kamata hiyo hapo kwenye red, then
kama hana mvuto, peleka salon
kama hana umbo la kibantu tumia mchina
kama hajui kuimba mwambia aanze kuimba kwaya kanisani
kama hapendi watoto, mpeleke kijijini kwa miezi miwili
kama hana ngozi nyororo mnunulie vaseline katoni moja.
 
Nguli kiukweli umetokaa na mpya verse
Binti wa sifa zote hizo kumpata ni kasheshe
Mmoja kumpata sita sifa zimempwaya
Hakuna wa kuingia pasipo kasoro wala kiporo

Nimeamasika kusaka urembo si mchezo
Mkamate mwenye pungufu tatu kasoro
Kila mmoja kapata nusu na hakuna mwenye kamili
 
Nguli kiukweli umetokaa na mpya verse
Binti wa sifa zote hizo kumpata ni kasheshe
Mmoja kumpata sita sifa zimempwaya
Hakuna wa kuingia pasipo kasoro wala kiporo

Nimeamasika kusaka urembo si mchezo
Mkamate mwenye pungufu tatu kasoro
Kila mmoja kapata nusu na hakuna mwenye kamili
Studio unaenda lini?
 
Kamata hiyo hapo kwenye red, then
kama hana mvuto, peleka salon
kama hana umbo la kibantu tumia mchina
kama hajui kuimba mwambia aanze kuimba kwaya kanisani
kama hapendi watoto, mpeleke kijijini kwa miezi miwili
kama hana ngozi nyororo mnunulie vaseline katoni moja.
Kiongozi umeamua kuwa dalali wa waifu wangu siyo?

I will be back.
 
safari hii nilikuwa kibiti mpenzi, tigo naona haijafika huko ningekucheki,:D

mimi hapa sasa.....nasikia kuna vijana walipita kuomba maji ya kunywa?:confused:

mpenzi wangu nashukuru wamekuachia urudi nyumbani,yaani tokea uondoke sijala ki2 nashindia maji 2.ukiendelea hivi huu mwili utaisha kwa mawazo.
icon9.gif
icon7.gif

mpenzi wangu umesahau kuwa mi situmii tigo hivyo hata ungepiga ungesikia tu..da namba ur calin iz not richebo..
icon10.gif

ni kweli kuna vijana fulani walipita hapa kuomba maji halafu nikawaomba wanisaidie kutengeneza kitanda kililegea mguu.hivyo ukisikia kuna vijana nilikua nao chumbani usinielewe vibaya.
mpenzi wangu nakukaribisha kwa wimbo wa miondoko ya kwetu uitwao subalkheri mpenzi..waonaje hali yako....enjoy.
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
 
mpenzi wangu nashukuru wamekuachia urudi nyumbani,yaani tokea uondoke sijala ki2 nashindia maji 2.ukiendelea hivi huu mwili utaisha kwa mawazo.
icon9.gif
icon7.gif

mpenzi wangu umesahau kuwa mi situmii tigo hivyo hata ungepiga ungesikia tu..da namba ur calin iz not richebo..
icon10.gif

ni kweli kuna vijana fulani walipita hapa kuomba maji halafu nikawaomba wanisaidie kutengeneza kitanda kililegea mguu.hivyo ukisikia kuna vijana nilikua nao chumbani usinielewe vibaya.
mpenzi wangu nakukaribisha kwa wimbo wa miondoko ya kwetu uitwao subalkheri mpenzi..waonaje hali yako....enjoy.
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
Hommie hajawahi kunitilia mashaka, so usijali. Huo wimbo kwa hommie unapoteza muda bure. Labda huu...................

Aramba aramba tenaaa.......... ammmmm ammmmm!
 
mpenzi wangu nashukuru wamekuachia urudi nyumbani,yaani tokea uondoke sijala ki2 nashindia maji 2.ukiendelea hivi huu mwili utaisha kwa mawazo.
icon9.gif
icon7.gif

mpenzi wangu umesahau kuwa mi situmii tigo hivyo hata ungepiga ungesikia tu..da namba ur calin iz not richebo..
icon10.gif

ni kweli kuna vijana fulani walipita hapa kuomba maji halafu nikawaomba wanisaidie kutengeneza kitanda kililegea mguu.hivyo ukisikia kuna vijana nilikua nao chumbani usinielewe vibaya.
mpenzi wangu nakukaribisha kwa wimbo wa miondoko ya kwetu uitwao subalkheri mpenzi..waonaje hali yako....enjoy.
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif

mi hapo tu,

hali yangu kama yako

nalimiss pendo lako!:D

halafu nilivo mwelewe, nitakuelewaje vibaya na wewe wanielewa ivyo mpenzi.,

tanga line is here to stay:rolleyes:
 
Hommie hajawahi kunitilia mashaka, so usijali. Huo wimbo kwa hommie unapoteza muda bure. Labda huu...................

Aramba aramba tenaaa.......... ammmmm ammmmm!

hommie nilidhani wewe fundi bomba kumbe na useremala pia?
 
mi hapo tu,

hali yangu kama yako

nalimiss pendo lako!:D

halafu nilivo mwelewe, nitakuelewaje vibaya na wewe wanielewa ivyo mpenzi.,

tanga line is here to stay:rolleyes:

Hommie unazeeka vibaya.

The needful unachelewa ujue? LOLZ!
 
Hommie unazeeka vibaya.

The needful unachelewa ujue? LOLZ!


hommie apo ungejua....uliona wapi mwanaume anazeeka..achilia mbali vibaya...unataka shemeji Charity a do ze nidiful akupeleke angaza kwa lazima? LOL
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom