Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

i love broda Nguli lkn vigezo vyake daaah sina vyote mtu wangu.
lkn afate ushauri wangu niliompa.afunge,asali,amlilie mungu maombi maombi maombi tu.
vipi wee chrispin huwezi kunitwaa kama nilivyo na vigezo vyangu hafifu?
Ningeweza sana lakini kuna huyu mtu hapa chini ameshaniwahi. Analinda kama mgambo wa City.

Ukinipa namba za Nguli na wewe unataka umpigie nani?
Lol!
Mi nakupigia wewe tu. Aftaroo nna namba zako wewe peke yako.Hun, unajua kunilinda kweli. Hebu mwone cheusie hapo juu anataka kuniiba.
 
i love broda Nguli lkn vigezo vyake daaah sina vyote mtu wangu.
lkn afate ushauri wangu niliompa.afunge,asali,amlilie mungu maombi maombi maombi tu.
vipi wee chrispin huwezi kunitwaa kama nilivyo na vigezo vyangu hafifu?
Ngoja nimkonsalti hommie wangu kaizer kwa ajili ya maadili.
 
Ningeweza sana lakini kuna huyu mtu hapa chini ameshaniwahi. Analinda kama mgambo wa City.

Mi nakupigia wewe tu. Aftaroo nna namba zako wewe peke yako.Hun, unajua kunilinda kweli. Hebu mwone cheusie hapo juu anataka kuniiba.
hahaaa
 
Niko tayari big braza

Halafu hupatikani kwa nini???????
Namba zangu ushazipoteza? Vibaya hivyo.

Ukuje basi leo. Nna hamu ya kukuona unavotafuna makange wakati namimina bia baridi.
 
2010 niko kikazi zaidi
X*X*X*X*X*X*X*X*X*X

Funga na kuomba utampata mwenye sifa zote hizo kama hutajali tutafunga pamoja+ Charity
Namtafuta nanihii yule yupo??


progress.gif
 
Back
Top Bottom