vipi wee chrispin huwezi kunitwaa kama nilivyo na vigezo vyangu hafifu?
Naona Jibu unalo hapo juu!!Ukinipa namba za Nguli na wewe unataka umpigie nani?
Lol!
Ningeweza sana lakini kuna huyu mtu hapa chini ameshaniwahi. Analinda kama mgambo wa City.i love broda Nguli lkn vigezo vyake daaah sina vyote mtu wangu.
lkn afate ushauri wangu niliompa.afunge,asali,amlilie mungu maombi maombi maombi tu.
vipi wee chrispin huwezi kunitwaa kama nilivyo na vigezo vyangu hafifu?
Mi nakupigia wewe tu. Aftaroo nna namba zako wewe peke yako.Hun, unajua kunilinda kweli. Hebu mwone cheusie hapo juu anataka kuniiba.Ukinipa namba za Nguli na wewe unataka umpigie nani?
Lol!
Hommie unachafua hali ya hewa ujue?Naona Jibu unalo hapo juu!!
ha ha ha ha hommie ijumaa leo au?Hommie unachafua hali ya hewa ujue?
Ngoja nimkonsalti hommie wangu kaizer kwa ajili ya maadili.i love broda Nguli lkn vigezo vyake daaah sina vyote mtu wangu.
lkn afate ushauri wangu niliompa.afunge,asali,amlilie mungu maombi maombi maombi tu.
vipi wee chrispin huwezi kunitwaa kama nilivyo na vigezo vyangu hafifu?
hahaaaNingeweza sana lakini kuna huyu mtu hapa chini ameshaniwahi. Analinda kama mgambo wa City.
Mi nakupigia wewe tu. Aftaroo nna namba zako wewe peke yako.Hun, unajua kunilinda kweli. Hebu mwone cheusie hapo juu anataka kuniiba.
Unaanza kujipigia chapuo?
Uko tayari kuwa mke wa pili wewe?
Kiu tayari hapo! Maneno mengine hommie si ya kutamkwa asubuhi.ha ha ha ha hommie ijumaa leo au?
Namba zangu ushazipoteza? Vibaya hivyo.Niko tayari big braza
Halafu hupatikani kwa nini???????
JS mamboz? mzima wewe?Niko tayari big braza
Halafu hupatikani kwa nini???????
msalimie mwambie naumwa tena sbb ya kummiss sijui nguo zake wameziloweka tena!yaani hommie wako ananiweka roho juu kweli,sili silali namuwaza tuuu!Ngoja nimkonsalti hommie wangu kaizer kwa ajili ya maadili.
Namba zangu ushazipoteza? Vibaya hivyo.
Ukuje basi leo. Nna hamu ya kukuona unavotafuna makange wakati namimina bia baridi.
JS mamboz? mzima wewe?
Nguli darling what happened between us??
Ondoa hofu....nipo mwake!! Si unajua tena weekend vitu laini laini tu!!Mie mzima Kimey hofu kwako tu