Nitampata wapi huyu mrembo hapa JF

ha ha ha hapo kwenye chaki BHT atanisadia nisije nikaongeo uwongo!!

Bihechitiiiiiiiiiiiiiiiii! upo wapi mamaa.Njoo ujibu swali hapa.Kimey naye ni muumini wa hilo dhehebu?(I doubt akina shimboni nachicha ikawapitia pembeni hii kitu,ni kwa neema ya Mungu tu)
 
Umenikumbusha sijakula siku nyingi. Leo wapi???
Chaguo ni lako sissie. We sema mi natimiza.

Ameshachelewa huyo cheusi.



You made me smile,
when I could only frown.
You picked me up
when I was down.


Now i think of you
every day and night.
you came into my life
and made everything right.


I love you truly,
I love you wholly.
I love you completely,
I love you solely.

Thank you so much!!!
I will live and die for you hun.

Xspin.....hebu fafanua hapo pa red!!!! mmmmmnh!!!
Malkia wangu atakufafanulia. Hebu msome hapo chini.....

Ngoja nimsaidie.......
Eti ni kuhusu 10thApril.....quiting the club(spinsters)
Unajiandaa kuolewa!!!!!!!!!!
Nadhani umeelewa na tutaendelea kama zamani.

Leo my hommie Valuu zitamkoma kwa hii Poem!!
Katikati ya mistari hommie nakuona kama unalia wivu vile. Usijali, bibie ana mdogowe tunaweza ku-do the needful tukaoa nyumba moja.

Hizo valuu ndio ugomvi wetu mkubwa mimi na yeye.Hebu nishauri,nidiliti poem kabla hajaja?
Sasa wifey unaanza kwenda ofu topiki! Sikumbuki kama tulishawahi kugombana.

oooh okay....yes najiandaa sana!!!
Thanks for your understanding. Nakutakia maandalizi mema. Usinisahau kwenye mialiko.

Bihechitiiiiiiiiiiiiiiiii! upo wapi mamaa.Njoo ujibu swali hapa.Kimey naye ni muumini wa hilo dhehebu?(I doubt akina shimboni nachicha ikawapitia pembeni hii kitu,ni kwa neema ya Mungu tu)
Darlie vipi tena? unaulizia ulimi mdomoni?
 
Katikati ya mistari hommie nakuona kama unalia wivu vile. Usijali, bibie ana mdogowe tunaweza ku-do the needful tukaoa nyumba moja.
teh teh teh hommie you made my day ha ha ha nimekukubali kwa kusoma btn the lines!!
 
Inabidi ufunge kwa maombi utampata tuu
mmh! usimdanganye mwenzio, mwambie atafute kwa bidii!!
aende kwwenye shughuli za kijamii kwa bidii, kanisani, harusini, bar, disco, aanze kwenda kusoma pale chini ya ule mti wa UDSM (mdigirii)....yani startegic areas!!
 
mmh! usimdanganye mwenzio, mwambie atafute kwa bidii!!
aende kwwenye shughuli za kijamii kwa bidii, kanisani, harusini, bar, disco, aanze kwenda kusoma pale chini ya ule mti wa UDSM (mdigirii)....yani startegic areas!!

Haaa kumbe enhe hahha hhaha
 
Week end ikifika utagundua tu kwa vile nimefunga yaani nasumbuliwa na kiu balaa.
 
ha ha....wakwetu bana , umeshaclear cookies kule kwenye mdudu lakini?

nikienda kule ntaharibu friday yangu bure......

eti kasema imetuuma ndo maana ofu topiki........ngoja nikachungulie ukisikia mayowe tell I ribimi to come n rescue me
 
Back
Top Bottom