Nitalikumbuka jina hili

Nitalikumbuka jina hili

lukikoj

Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
7
Reaction score
4
naweza nikubali au nikatae shutuma nyingi zilizotolewa kwa jina hili, lakini kwa namna moja au nyingine sitolisahau jina hili "BENJAMINI WILLIAM MKAPA" he was the president real
 
my president ben a.k.a mr clean, ila alichafuka na vumbi kidogo
 
You are very right. BEN was the best president so far we have had. Long live BWM
 
naweza nikubali au nikatae shutuma nyingi zilizotolewa kwa jina hili, lakini kwa namna moja au nyingine sitolisahau jina hili "BENJAMINI WILLIAM MKAPA" he was the president real
Kwa kuuza migodi yetu kwa wazungu
 
long live Ben. Siku moja alisema/alinukuu "wacha kupiga mayowe...." Tunayaona sasa.
 
Hakuwa 100% complete,aliwasha moto wa kuni mbichi,sasa kuni zimekauka na moto tunauona,ila nikifanya comparison,BEN yuko juu ya wenzie.Kwangu mimi mr.fake smile ndo floppy zaidi ya wote!
 
LUKILOJ...mtima wangu umetulia ...uache huo mchezo wa kuuchokonoa, tena nimesema niache.....! huwezi gusa mada ambayo unajuwa sitaweza kukaa kimyaaa.....! ila uliyoeleza yanatosha...!
NAMKUMBUKA...... ALIRUDISHA HESHIMA YA PESA,WAFANYAKAZI,TANZANIA...... NA SASA MIGOGORO MBALIMBALI INAMTAMBUA YEYE NI NANI....! LIVE BEN....LIVE BEN....!
 
naweza nikubali au nikatae shutuma nyingi zilizotolewa kwa jina hili, lakini kwa namna moja au nyingine sitolisahau jina hili "BENJAMINI WILLIAM MKAPA" he was the president real
... yeah, who established a private company kwa kutumia address ya ikulu
 
... yeah, who established a private company kwa kutumia address ya ikulu
Mkuu hii thread haiwezi kupita bila kuichangia. BWM was a great leader wkatae wakubali. Alikuwa na vision, alikuwa na priority, alikuwa na decision na hivi ndiyo vigezo vikubwa vya strategic leadership
 
Stuxnet... haina ubishi, Mkapa was Tanzania's gift from God, i like him and i admire him most.... actually hadi leo ndoto yangu ni kupata wasaa, nikae nae, nipate glass ya black label na kumuuliza mengi sana kuhusu yeye nimeshafanya jitihada nyingi za kumpata na nadhani kabla ya desemba ntamuona.... he is my hero but ya kufungua ofisi ikulu haiwezi kusahaulika

My point hapo ni jinsi unavyoweza kuwa good manager ukadhani mkeo na vision yako

the best quote from Mkapa ni ile aliyowaambia waandishi wa habari wakati wa WEF kuwa "wawe watanzania" - the statement carried 1,000,000,000,000 kilos.... je alieleweka??

nikimuona ntwaambia
 
Back
Top Bottom