Jifunze kulipa wema siku zote ubaya hauzai matunda Aggy,kumbuka binadam tunatofautiana vingi tu tabia kujali kupenda kuvumilia n.k. cha kufanya ww mtendee wema anaekulipa ubaya kwa kufanya hivi utaruhusu milango ya kher kufunguka kwako na utakua mwenye furaha siku zote ,n jarbu tu ilo
Sent using
Jamii Forums mobile app