2011 sitaisahau maishani mwangu.mambo yaliyotokea kwangu machungu yasiyovumilika,sijawahi kupata machungu kama ambayo yalinipata 2011.namshukuru Mungu kwa mwaka huu.nilidhani sitamaliza mwaka huu lakini ilipofika leo asubuhi nikajua kweli nimeumaliza huu mwaka.najua hata maadui zangu hawakujua kama nitafika desemba 31,2011 lkn nimefika kwa neema ya Mungu.imebaki kuwa kitendawili kwao.kwaheri 2011 na machungu yako.nafarijika kwamba 2011 haitajirudia tena.bye bye 2011.
Binafsi nimepoteza wapendwa wangu kadhaa.Lakini kama haikutosha 2011 imenijeruhi vibaya pale ambapo iliruhusu mafuriko kuharibu maisha ya rafiki yangu mpenz na familia yake.
Balaa tupu!Gari langu lilipata ajali mbaya na kuishia hapo hapo japo hakuna aliyekufa!Mbaya zaidi mama yangu mpendwa alinitoka!!!
Kwa kweli 2011 ishia zako
mwaka 2011, ulikuwa wa mitihan ming,maisha magum kwa mzaz, ugomvi wa
kifamilia, vikwazo ving kielimu, ila ckukata tamaa, Amin whch doeznt kill you,it wil make u strong. Nenda mwana kwenda 2011
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.