Lowassaphobia!NITAKIPINGA KITENDO HIKI.
Nitaendelea kukipinga kitendo hiki cha kutaka kuipora nchi yetu nia ya watu hawa ni nini? SAY NO .
HAPA KAZI TU
NITAKIPINGA KITENDO HIKI.
Nitaendelea kukipinga kitendo hiki cha kutaka kuipora nchi yetu nia ya watu hawa ni nini? SAY NO .
HAPA KAZI TU
Huu ni uhaini wa hali ya juu
Yaaan hatuwezi kukubali
Nitaupinga hata maisha yangu yote
Huu ndio mfumo wa kishetan
nitaipigania tanzania yangu mpaka nihakikishe ha2ingii mikonon mwa wakolon kwa kumchagua kiongoz mwadilifu ipo waz misaada yote ya kampen imetoka nje ni zaili wakolon wapo njian ewe mtanzania mwenye mtizamo chanya jitathimin hapa KAZI TU
nitaipigania tanzania yangu mpaka nihakikishe ha2ingii mikonon mwa wakolon kwa kumchagua kiongoz mwadilifu ipo waz misaada yote ya kampen imetoka nje ni zaili wakolon wapo njian ewe mtanzania mwenye mtizamo chanya jitathimin hapa KAZI TU
Hapa Kazi tu.
Walimu baadhi yao walioajiriwa mwezi wa 5 mwaka huu wamekuja kulipwa mshahara wa mwezi wa 9.... huku wakiwa wanadai mishahara yao kuanzia may, june, july na august.....
Hapa Kazi Tu.
Mabilion ya mapesa yakitumika kwenye kampeni huku watu mahospitalini wakikosa dawa na wamama wajawazito wakilala wanne wanne kwenye kitanda kimoja.
Hapa Kazi Tu.
Nchi haina viwanda huku vijana wakitanga tanga mitaani hawana ajira, serikali ya CCM ikiwa ipo madarakani zaidi ya miaka 50.
Hapa Kazi Tu.
Rais wako aliulizwa kwann Tanzania ni maskini ilhali kuna rasilimali nyingi alijibu hata yeye hajui kwann
Hapa Kazi Tu.
Sitaichagua CCM kwa sababu ya umeme tu.
Umeme,umeme, umeme.
Sitaichagua CCM kwa sababu ya umeme tu.
Umeme,umeme, umeme.
Sikubali nchi yangu ichukuliwe na mafisadi kiasi hiki