Rais aliyejenga chuo kikuu kikubwa Afrika Mashariki na ya Kati, Hii ni college of education pekee, chuo kizima hakiingii kwenye picha moja:
hahaha! zomba nimekukubali, wewe sio mchezo aiseee.... Dah! Hicho chuo kwa kweli kizuri kwa macho, ndio kiko wapi na kitaegemea mambo yepi? Hapo raisi wangu anastahili pongezi kwa moyo mweupe kabisa!
Asalam aleykum'
Rais aliyejenga chuo kikuu kikubwa Afrika Mashariki na ya Kati, Hii ni college of education pekee, chuo kizima hakiingii kwenye picha moja:
Kwa kutumia fedha za NSSF na PPF ambazo ni michango ya walalahoi wa nchi hii. Ameshindwa kurejesha fedha hizo kutokana na serikali yake kutokukusanya kodi. Matokeo yake amekimbilia kupeleka muswada bungeni kutaka wafanyakazi wote wanachama wa NSSF na PPF kufutiwa mafao ya kujitoa na kuweka masharti kuwa mafao kwasasa ni mpaka mfanyakazi (mwanacha) atakapostaafu. Aibu kubwa sana.
Rais aliyejenga chuo kikuu kikubwa Afrika Mashariki na ya Kati, Hii ni college of education pekee, chuo kizima hakiingii kwenye picha moja:
Ulitaka atumie fedha za nani? hivi ulikwenda NSSF kudai mafao yako ukaambiwa hakuna.