Nitajuaje simu yangu wanaitrack?

MIGUGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
2,137
Reaction score
3,942
Ni viashiria gani vya smartphone kuwa kuna watu wanatrack?

Niligoogle nikapata majibu haya
wawa1.Simu kuwa ya moto sana
2.Kuisha kwa betri,salio na bundle mara kwa mara bila mpangilio.
3.Kuwa na mwangwi au sauti zisizoelezeka "chkskorokxhjk"
4.Kama kampuni au mwajiri wako aliwahi kukuomba simu mara moja anza kurudisha kumbukumbu alitaka nini.
5.Kama huwa unaacha simu halafu unatoka ukarudi imehamishwa au kusogezwa.

Ingawa unaweza ukawa paranoid kuhisihisi ila hivi niviashiria.Add yours au wajuzi mtuambie maana JF tunabwatuka makubwa mno labda wasiojulikana wanatutrack.
 
Nautabiria kusomwa na watu wengi Sana huu uzi
 


No, 1 cm kuwa na moto sana, hapo bila shaka mimi ninadukuliwa.🏃🏻🏃🏻
 
Simu yoyote ile inapokuwa "on" na ikiwa kuna mtandao (network) automatically inakuwa tracked and/or traced.
 
Kwanza ujue kuwa siyo rahisi Kwa Tanzania hii, kujua kama wanakutrack
 

By the authorities. E.g:-
- Network administrators
- Contents providers
- Network service providers
- Cyber/ telecommunications regulators,
- Law enforcement agencies,
- Security Intelligence agencies, military, etc.

NB:
Smart phones ndizo ambazo ziko vulnerable zaidi kupita kiasi ktk masuala ya tracking and tracing ukilinganisha na simu za kawaida ambazo siyo smart phones
 
Sasa utajuaje kama wanakufatilia?Mi jukwaa langu la MMU tu siasa huwa sio saana.
 
Uwe unachomoa betri mara kwa mara kuepuka usumbufu
 
Sasa utajuaje kama wanakufatilia?Mi jukwaa langu la MMU tu siasa huwa sio saana.

In fact Ni vigumu sana kujua kama unadukuliwa/hacked, KWA maana ya phone tracking and tracing ingawaje kila Mara unapowasha simu yako ikiwa on NA kukiwa NA network, automatically tayari simu yako inakuwa imeshajisajili kwenye orodha ya mtoa huduma ya mtandao, simu yako pia inakuwa tayari imeacha footprints kwenye database ya mtandao husika,

Njia mbalimbali alizoeleza mtoa mada pia zinasaidia kukupa ishara kuwa simu yako iko under attack of hacking/udukuzi. Lakini njia za uhakika ili kujua kuwa mawasiliano yako ya simu yanadukuliwa Ni kupitia Teknolojia kali, endelevu NA ta kisasa ktk masuala ya TEHAMA/ICT.
 
mzee utrakiwe una potential gani kwa hiyo kampuni ya simu au serikali?
shida watu mnapenda ku over think mambo aisee kha, au kama unaongelea kutrakiwa na mpenzi wako basi uza hiyo simu ununue nyingine
 
Sasa utajuaje kama wanakufatilia?Mi jukwaa langu la MMU tu siasa huwa sio saana.
Inategemeana ni udukuzi wa namna gani mkuu. Kuna udukuzi mwingine kwa namna yeyote wewe huwezi kufahamu kama taarifa zako zinadukuliwa.

Kwa njia ulizozitaja, ni kuangalia udukuzi wa mtu kuweka tracking app kwenye simu yako. Hiyo ndizo dalili zake. Simu kuchemka, simu kuwa nzito, simu kupoteza mtandao mara nyingine, sms kuchelewa kufika au kutofika kabisa baada ya kutuma na vinginevyo.

Kuna njia za kuangalia kama kuna app yeyote imewekwa kwenye simu yako kutegemeana na aina ya app yenyewe.

Lakini utumiaji wa vifaa vyote vya umeme hasa simu janja, smart tvs, computers na laptops zinatoa nafasi kubwa zaidi ya kudukuliwa.
 
Reactions: Ctr
as long as unatumia internet wala usihofu.........
 

Absolutely.

Ili kuepuka kuwa ktk risk kubwa zaidi ya kudukuliwa Ni vyema kuepuka matumizi yasiyokuwa ya lazima, au matumizi mabaya kuhusiana na vifaa vya ki-electronic vinavyotumia "smart technology", e.g.smartphone, smart TV, laptops, desktop, etc.

Pia, pendelea zaidi kutumia simu za jamii ya CELLPHONES, usitumie simu za jamii ya Smart phones,na PDA (personal digital assistant) kwani KWA kutumia Smart phone na PDA risk ya kudukuliwa kirahisi zaidi ni kubwa sana kupita kiasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…