Mo Issa
Member
- Jul 28, 2020
- 43
- 78
Hello wana JF
Ni matumaini yangu hamjambo na wenye afya tele na hata wale wagonjwa namuomba Mungu awaponye haraka.
Leo ningependa kuongelea hizi Financial Markets yaan Masoko ya Biashara za kifedha duniani. Imezoeleka na kusikika mara kadhaa hili neno pengine naamini unaelewa nini namaanisha hapa.
Kwa sasa dunia yetu imepiga hatua kubwa sana kiutandawazi kupelekea hata biashara nyingi kuja mitandaoni. Leo nitajikita katika zaid katika Biashara ya Forex kisha baadae nitaelezea Stocks Bonds na nyingine nyingi.
Nataka nielezee kidogo kuhusu Biashara ya forex kwa ambae ndo anaanza kujifunza, anatamani kujifunza au ambae amekata tamaa.
Biashara ya forex sio biashara ngeni kwa Tanzania, imekuwepo siku nyingi kidogo huko nyuma.. ni biashara ambayo inafanywa na Central banks mfano Bank of Tanzania (BoT), Commercial Banks, Governments, Hedge Funds na Makampuni makubwa, na Retail Traders (hawa ni wafanya biashara wadogo kwa maana wanakua na mitaji midogo)
Inahusisha kubadilishana pesa mtandaoni.. nitolee mfano. Ukiwa unaenda Kenya uko na Tsh 100k utafika mpakani ili kubadilisha Tsh yako kwenda Kshillings ili ikusaidie kufanya transactions huko Kenya. Kitendo cha kubalisha Tsh to Ksh tayari hiyo tunaita Foreign Exchange(Forex). Hapo anakuwepo ww uliye nunua na Aliye kuuzia.
Karne iliyopita foreign exchange(Forex) ilikua inafanyika Physically kama huo mfano wa Tsh na Ksh. Currently kwa sababu ya Technology kukua inaweza kufanyika online. Ambapo wanunuzi(Buyers) na wauzaji (Sellers) hukutana. Kitu ambacho kinafanyika ili wewe kuweza kufanya forex lazima upate mkutanishi.
Huyo mkutanishi (Broker) ndie anakukutanisha na buyers na Sellers kwenye soko la Forex. Brokers wapo wengi sana na wanapatikana mtandaoni. Kuna vigezo vya kumjua Forex broker ambae yupo legit yaani ambae sio scammer(mwizi) hili somo la siku nyingine. Haya tuendelee,,,
Tanzania ukilinganisha na nchi nyingne kama Kenya, South Africa, Namibia au Nigeria kwa hapa Africa bado Tanzania tupo nyuma kwa sababu ambazo nazielezea ndani ya sekunde mbili zijazo.
1. Hakuna elimu thabiti kujifunza na kuielewa Forex ni kitu gani. Forex ni biashara ambayo ni wide sana na inahitaji elimu kabla hujawekeza. Assume forex sio tu kubadilishana sarafu tu, unaweza trade commodities kama Gold, Mafuta (Oil), silver au Indecies kama Nasdaq au shares.
Mchezo unaotokea hapa Tanzania na watu kuiita biashara ya wizi ni hii hapa... Kwasababu ya uhitaji wa Elimu unakuta Kijana tu mdogo anaanza kujifunza kupitia YouTube au Google au forum yoyote... bila kujali ni muda gani ametumia kujifunza, anaweka pesa zake na kupata hasara. Hapa sasa ndo watu huamuwa kuiita majina kama utapeli na kadhalika pia nikichoona ni kuwa watu kwa kukosa elimu hushindwa kutofautisha kati ya Financial Markets hizi na Ponzi schemes(somo la siku nyingine hili, tutaona utofauti uliopo na pengine somo hili litawafanya watu kubadil mitazamo yao na kuwacha pia kufikiri biashara hizi ni kama betting).
Forex inahitaji discipline ya hali ya juu.. na kama huna itakufundisha. Ni industry ambayo ukiingia inakufundisha jinsi ya kuwa smart at age of 15 kama real man. Na hyo yote inatokana na kujifunza kila siku kuhusu pesa au investments. Sio biashara ya Kutajirika haraka kama ambavyo baadhi ya watu hudanganya watu wengine huko Instagram na ukiiendea kwa papara bila kujuwa unachokifanya utaumia kweli coz ni biashara ambayo ina risk kubwa pia hilo lazima ufahamu.
2. Kupenda pesa ya haraka. hii ni sababu ya pili kufanya wa-Tz wengi hua wanakimbia hii biashara. Forex inahitaji process na huwezi kuruka hata step moja.
Mfano : Ukiwa unaanza Forex trading ni lazima ujifunze/kufundishwa na mtu ambae katoboa tayari hujulikana kama Mentor ambae ndo atakae kupa muongozo katika biashara hii. Ukisha jifunza unaingia kufanya majaribio ya ulichojifunza kwenye Demo a/c ( ni account ambayo unapewa na Broker wako ikiwa na virtual money.. ni kwa ajili ya kujifunzia)
Nashauri utest ulichojifunza kwa muda usio zidi Miezi sita (6 months).. hapa ndo waTz tunakwama sasa.. unakuja siku mbili mtu kapiga msuli huko YouTube kesho kutwa anaanza kutrade real account.. bro usifanye hvo unakosea. Usiruke hatua utaumia vibaya mno.
Miezi sita umetrade ukatest ulichojifunza kama matokeo yako ni sawa. ( Hapa jipime kutumia myforexbook.com ukawa unatrack record zako)
Kisha sasa Fund account yako hapa nitaelezea vizur
Hutokea unajifunza forex ukiwa na hali ngumu ya maisha kwa maana.. pesa inakua ngumu. Nitakwambia trick ya kutumia. Nashauri kufund a/c pesa ambayo hata ikipotea isikuume au ikatengeneza emotions mbaya. Mfano kama unaweza afford kupata Dollar 100 basi fund hiyo.
Njia ya pili, kama huna pesa kabisa ila unaweza kupata hata tsh 20k.. ingia Google tafuta brokers ambao wanaweza kutoa account ya Cent. (Cent a/c inakua ni real kabisa lakini ukiweka dollar 1= inasoma $100 so kama uko na $5 = $500) hii itakusaidia kutest skills zako.
Trick hii ya kutumia cent a/c itakusaidia kuweza kutrade real money huku una-gain confidence ya soko same time unatest skills zako, same time unaearn Profits. Usinielewe vibaya.. kutumia cent a/c ni trick ya kutumia kama huna pesa kabisa.
Naomba niulize swali kama lipo kwa leo tuishie hapa.
Ni matumaini yangu hamjambo na wenye afya tele na hata wale wagonjwa namuomba Mungu awaponye haraka.
Leo ningependa kuongelea hizi Financial Markets yaan Masoko ya Biashara za kifedha duniani. Imezoeleka na kusikika mara kadhaa hili neno pengine naamini unaelewa nini namaanisha hapa.
Kwa sasa dunia yetu imepiga hatua kubwa sana kiutandawazi kupelekea hata biashara nyingi kuja mitandaoni. Leo nitajikita katika zaid katika Biashara ya Forex kisha baadae nitaelezea Stocks Bonds na nyingine nyingi.
Nataka nielezee kidogo kuhusu Biashara ya forex kwa ambae ndo anaanza kujifunza, anatamani kujifunza au ambae amekata tamaa.
Biashara ya forex sio biashara ngeni kwa Tanzania, imekuwepo siku nyingi kidogo huko nyuma.. ni biashara ambayo inafanywa na Central banks mfano Bank of Tanzania (BoT), Commercial Banks, Governments, Hedge Funds na Makampuni makubwa, na Retail Traders (hawa ni wafanya biashara wadogo kwa maana wanakua na mitaji midogo)
Inahusisha kubadilishana pesa mtandaoni.. nitolee mfano. Ukiwa unaenda Kenya uko na Tsh 100k utafika mpakani ili kubadilisha Tsh yako kwenda Kshillings ili ikusaidie kufanya transactions huko Kenya. Kitendo cha kubalisha Tsh to Ksh tayari hiyo tunaita Foreign Exchange(Forex). Hapo anakuwepo ww uliye nunua na Aliye kuuzia.
Karne iliyopita foreign exchange(Forex) ilikua inafanyika Physically kama huo mfano wa Tsh na Ksh. Currently kwa sababu ya Technology kukua inaweza kufanyika online. Ambapo wanunuzi(Buyers) na wauzaji (Sellers) hukutana. Kitu ambacho kinafanyika ili wewe kuweza kufanya forex lazima upate mkutanishi.
Huyo mkutanishi (Broker) ndie anakukutanisha na buyers na Sellers kwenye soko la Forex. Brokers wapo wengi sana na wanapatikana mtandaoni. Kuna vigezo vya kumjua Forex broker ambae yupo legit yaani ambae sio scammer(mwizi) hili somo la siku nyingine. Haya tuendelee,,,
Tanzania ukilinganisha na nchi nyingne kama Kenya, South Africa, Namibia au Nigeria kwa hapa Africa bado Tanzania tupo nyuma kwa sababu ambazo nazielezea ndani ya sekunde mbili zijazo.
1. Hakuna elimu thabiti kujifunza na kuielewa Forex ni kitu gani. Forex ni biashara ambayo ni wide sana na inahitaji elimu kabla hujawekeza. Assume forex sio tu kubadilishana sarafu tu, unaweza trade commodities kama Gold, Mafuta (Oil), silver au Indecies kama Nasdaq au shares.
Mchezo unaotokea hapa Tanzania na watu kuiita biashara ya wizi ni hii hapa... Kwasababu ya uhitaji wa Elimu unakuta Kijana tu mdogo anaanza kujifunza kupitia YouTube au Google au forum yoyote... bila kujali ni muda gani ametumia kujifunza, anaweka pesa zake na kupata hasara. Hapa sasa ndo watu huamuwa kuiita majina kama utapeli na kadhalika pia nikichoona ni kuwa watu kwa kukosa elimu hushindwa kutofautisha kati ya Financial Markets hizi na Ponzi schemes(somo la siku nyingine hili, tutaona utofauti uliopo na pengine somo hili litawafanya watu kubadil mitazamo yao na kuwacha pia kufikiri biashara hizi ni kama betting).
Forex inahitaji discipline ya hali ya juu.. na kama huna itakufundisha. Ni industry ambayo ukiingia inakufundisha jinsi ya kuwa smart at age of 15 kama real man. Na hyo yote inatokana na kujifunza kila siku kuhusu pesa au investments. Sio biashara ya Kutajirika haraka kama ambavyo baadhi ya watu hudanganya watu wengine huko Instagram na ukiiendea kwa papara bila kujuwa unachokifanya utaumia kweli coz ni biashara ambayo ina risk kubwa pia hilo lazima ufahamu.
2. Kupenda pesa ya haraka. hii ni sababu ya pili kufanya wa-Tz wengi hua wanakimbia hii biashara. Forex inahitaji process na huwezi kuruka hata step moja.
Mfano : Ukiwa unaanza Forex trading ni lazima ujifunze/kufundishwa na mtu ambae katoboa tayari hujulikana kama Mentor ambae ndo atakae kupa muongozo katika biashara hii. Ukisha jifunza unaingia kufanya majaribio ya ulichojifunza kwenye Demo a/c ( ni account ambayo unapewa na Broker wako ikiwa na virtual money.. ni kwa ajili ya kujifunzia)
Nashauri utest ulichojifunza kwa muda usio zidi Miezi sita (6 months).. hapa ndo waTz tunakwama sasa.. unakuja siku mbili mtu kapiga msuli huko YouTube kesho kutwa anaanza kutrade real account.. bro usifanye hvo unakosea. Usiruke hatua utaumia vibaya mno.
Miezi sita umetrade ukatest ulichojifunza kama matokeo yako ni sawa. ( Hapa jipime kutumia myforexbook.com ukawa unatrack record zako)
Kisha sasa Fund account yako hapa nitaelezea vizur
Hutokea unajifunza forex ukiwa na hali ngumu ya maisha kwa maana.. pesa inakua ngumu. Nitakwambia trick ya kutumia. Nashauri kufund a/c pesa ambayo hata ikipotea isikuume au ikatengeneza emotions mbaya. Mfano kama unaweza afford kupata Dollar 100 basi fund hiyo.
Njia ya pili, kama huna pesa kabisa ila unaweza kupata hata tsh 20k.. ingia Google tafuta brokers ambao wanaweza kutoa account ya Cent. (Cent a/c inakua ni real kabisa lakini ukiweka dollar 1= inasoma $100 so kama uko na $5 = $500) hii itakusaidia kutest skills zako.
Trick hii ya kutumia cent a/c itakusaidia kuweza kutrade real money huku una-gain confidence ya soko same time unatest skills zako, same time unaearn Profits. Usinielewe vibaya.. kutumia cent a/c ni trick ya kutumia kama huna pesa kabisa.
Naomba niulize swali kama lipo kwa leo tuishie hapa.