Nina mtoto wa kaka yangu amemaliza form four anataka asomee awe nurse wa hospitali. Naomben mnitajie list ya vyuo na mahala vilipo ndani au nje ya Dar es salaam
haaa..! Huyo hawez chukua diploma wala certificate coz sasa iv ili uchukue diploma ni lazima uwe na ufaulu wa kuanzia D, kwenye physics, Biology, Chemistry... Bila ivyo kujiunga na diploma ni ngumu labda kwa njia ya panya ktkt vyuo vya private, ila kuna pia kama umekosa physics waweza chukua certificate ili mladi uwe na qualification nzuri ktkk masomo hayo mawili yaan Chemistry na Biology.....