Imtu,kairuki na masana(vyote dar),tumbi(pwani)ANA DIV FOUR YA POINT 31. ANA ya chemistry na D ya dini tu
Imtu,kairuki na masana(vyote dar),tumbi(pwani)
ANA DIV FOUR YA POINT 31. Ana D ya chemistry na D ya dini tu
st. raphael na kibamba siyo vyuo vya nursing ni pre-nursing viko chini ya red crossIlembula school of
nursing-mbeya, eukernford-tanga, st.raphael-kibamba(dar) ,sengerema
school of nursing
ANA DIV FOUR YA POINT 31. Ana D ya chemistry na D ya dini tu
Ili mtu asome nursing ni LAZIMA awe amefaulu physics, chemistry, biology na at least D ya mathematics. Sasa hawa watoto wenu wakishafeli ndio anaanza kufikiria nursing sijui kama atapata. Nursing ya siku hizi imebanwa, haijaachwa kama teaching iwe for FAILURES! Mpe pole na mwambie ajipange kwa kitu kingine. Pamoja na BRN bado kuna pass hizo! Loh!
Imtu,kairuki na masana(vyote dar),tumbi(pwani)
hadi vya private vimebana mkuu?
Mkuu waraka walionao wa qualification ni mmoja. Wakishadahili huwa wanatakiwa kutuma wizarani majina ya wanafunzi na ufaulu WAP. Kama hana viwango husika hufanyi mtihani.
duh, watoto wetu tutawepeleka wapi siye jamani
Tazama tovuti ya Haydom School of Nursing utaona maelekezo yote. Lakini kwa alama hizi andika maumivu. Wanahitaji awe amefaulu CHEM, PHY NA BIOLOGY kwa kiwango at least cha D. Tofauti na hapo hakuna kitu hapo hata kama Dini amepata A.ANA DIV FOUR YA POINT 31. Ana D ya chemistry na D ya dini tu
ANA DIV FOUR YA POINT 31. Ana D ya chemistry na D ya dini tu
ANA DIV FOUR YA POINT 31. Ana D ya chemistry na D ya dini tu