Nitajieni basi zuri la Dar-Mbeya

Nitajieni basi zuri la Dar-Mbeya

Area 56

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,546
Reaction score
4,040
Keshokutwa nategemea kwenda Mbeya kikazi na nitakuwepo pale kwa siku 5. Sijawahi kufika kabisa nyada za juu kusini, naombeni mnitajie basi zuri na linalokimbia sana ili niwahi kufika jijini Mbeya mapema. Karibuni mtiririke wadau...
 
Keshokutwa nategemea kwenda Mbeya kikazi na nitakuwepo pale kwa siku 5. Sijawahi kufika kabisa nyada za juu kusini, naombeni mnitajie basi zuri na linalokimbia sana ili niwahi kufika jijini Mbeya mapema. Karibuni mtiririke wadau...
Mwendo kasi
 
Dar Lux

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Unataka unaokimbia haraka?
..Mimi nina usafiri usioonekana Ni PM ila Safari inaanzia Usiku.
 
JM ni bus zuri. Nauli ni 40,000/=. Lina mwendo unaozingatia usalama. Naogopa kukutajia gari linalokimbia sana kwa sababu abiria yeyote makini hawezi kukimbilia bus linalokimbia sana.
 
Hv Ndenjela bado lipo? Lilikuwa powa sana miaka ile niliposafiri nalo kwenda huko.
 
Keshokutwa nategemea kwenda Mbeya kikazi na nitakuwepo pale kwa siku 5. Sijawahi kufika kabisa nyada za juu kusini, naombeni mnitajie basi zuri na linalokimbia sana ili niwahi kufika jijini Mbeya mapema. Karibuni mtiririke wadau...
Kama wataka kuwahi kufika panda Fastjet (ndege) na siyo basi!
 
Enjoy with Rungwe Express cz wana gari ziko luxury and comfortable.
Nauli zao ni 40,000.
 
Back
Top Bottom