TOPLINE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 358
- 387
Specific kivipi rafiki?Make naamini mjumbe anaongelea umeme wa grid ya Taifa but tukisemea viwanda,hospitals hata umeme ukatike sekunde standby generators zina operate automaticallySawa mkuu ungekua specific.
Nilibaharika kufanya kazi Njombe aisee watu wakule wanaraha sana umeme kila leo upo,, mpaka nikashangaa wao umeme wanautoa wapi..Hebu tuambizane wakuu
Nitajie sehemu moja tz ambapo umeme huwa haukatiki au ukikatika ni mara chache tu?
Binafsi sijawah kushuhudia sehemu kama hiyo ambapo umeme huwa haukatikagi kabisa au unakatika kwa nadra tena ukikatika unakaa dk 5 tu unarudi
Ni sehemu gani ambapo huwa hakuna tatzo la umeme?