toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hebu tuambizane wakuu
Nitajie sehemu moja tz ambapo umeme huwa haukatiki au ukikatika ni mara chache tu?
Binafsi sijawah kushuhudia sehemu kama hiyo ambapo umeme huwa haukatikagi kabisa au unakatika kwa nadra tena ukikatika unakaa dk 5 tu unarudi
Ni sehemu gani ambapo huwa hakuna tatzo la umeme?
Nitajie sehemu moja tz ambapo umeme huwa haukatiki au ukikatika ni mara chache tu?
Binafsi sijawah kushuhudia sehemu kama hiyo ambapo umeme huwa haukatikagi kabisa au unakatika kwa nadra tena ukikatika unakaa dk 5 tu unarudi
Ni sehemu gani ambapo huwa hakuna tatzo la umeme?