Nakukaribisha serengeti kama K/mwenezi(W) na mbunge ambaye hakutangazwa na diwani wa kata ya STENDI KUU.Karibuni wote tunaotangaza nia nikiwemo mimi binafsi tuijenge CHADEMA kwanza kwa kuwaunganisha wanachadema wote KATA 28 NA SIO 29 kama ulivyodai.
Na kwingineko ndo wapi huko? Unamaanisha elimu yako haijulikani iliposhia? Au umesoma sehemu nyingi sana kiasi kwamba kuzoorodhesha haiwezekani? Halafu kukashifu viongozi au wapinzani wako ni umasikini wa sera. Wewe hubiri sera na siyo kusema mala yule tumbo liko nyuma na bla bla kibao. Unahitaji miaka tena mitano ya kujifunza. Kuhusu misismamo nafikiri, kwa sasa tunahitaji wetu wenye busara zaidi.Nilihitimu Serengeti Sekondari miaka 19 iliyopita, nikaendelea na masomo IDM MZUMBE na kwingineko, Nina msimamo usio badilika ktk mambo ya msingi, ni mfuatiliaji na mshiriki kwenye mijadala mbalimbali lakini zaidi, mimi ni miongoni mwa watanzania tunao amini katu, pasipo kuiondoa CCM madarakani.....
Safi sana kamanda naona umemuwahi Mwita Maranya, nitaakikisha natoa mchango wangu ili ushinde ubunge Serengeti.
Mkuu Omokora Nyangi,
Nakutakia kila la kheri kkt nia yako hiyo. Naamini una nia njema ktk kulitumikia taifa. Wewe na wengine watakao jitokeza kupitia cdm onesheni kuwa mnaweza na nitofauti kabisa na magamba. Ninachojua cdm haitaji wabunge tu ktk kilikomboa taifa hili kutoka tulipo kwenda mbele zaidi. Pamoja inawezekana. I wish u all the best.
Umesema ukweli kabisa kama ulikuwa kwenye mkutano wa kamati kuu vile.
samahani,nilikuwa na haraka na nilitumia simu kureply
Na kwingineko ndo wapi huko? Unamaanisha elimu yako haijulikani iliposhia? Au umesoma sehemu nyingi sana kiasi kwamba kuzoorodhesha haiwezekani? Halafu kukashifu viongozi au wapinzani wako ni umasikini wa sera. Wewe hubiri sera na siyo kusema mala yule tumbo liko nyuma na bla bla kibao. Unahitaji miaka tena mitano ya kujifunza. Kuhusu misismamo nafikiri, kwa sasa tunahitaji wetu wenye busara zaidi.
Umesema ukweli kabisa kama ulikuwa kwenye mkutano wa kamati kuu vile.
Naona unampa moyo, Mkuu mura bila jamaa kupiga M4C HUKO JIMBONI itakuwa ni vigumu sana, ni lazima apige kazi Chama na watu wamuone, apige kazi huko Rung'babure, Kibeyo, Kisangura, Nyamburi, Machochwe, na kwiingineko
Ndg Wanajamii-Forum,
Mimi ni mdau wa masuala mbalimbali ya kimaendeleo na kwa sasa naishi Serengeti. Kwa miaka 6 sasa nimekuwa nafanya utafiti kubaini fursa anuai ambazo zinapatikana ktk jimbo letu la Serengeti lakini ambazo CCM na serikali yake wameshindwa kuzitumia kwa makusudi.
Hali hii imeendelea kusababisha maisha ya watanzania wa Serengeti kuwa duni katika maeneo yote, yaani; Barabara, Maji, Afya na kubwa zaidi ELIMU.
Mwaka 2010 nilitaka kuingia kwenye kinyang'anyiro hiki lakini nilirudi nyuma kwa sababu sikuwa nimefanya utafiti wa kina ili kujiridhisha kwamba CHADEMA inaibwaga CCM vibaya ktk uchaguzi huo.
Lakini tangu hapo, nimezunguka kwenye kata 29 za Wilaya ya Serengeti na kubaini mambo mengi ya msingi. Nailaumu CCM na serikali yake kwa mambo manne makubwa ya msingi ambayo nitayaleta humu jamvin baadaye na hatimaye nitayaweka kwenye makala yangu kupitia Raia Mwema siku chache zijazo.
Kwa ufupi, mimi ni mwana Serengeti na tayari nishaanza kutengeneza mtego na mtandao makini ambao utaitafuna CCM na serikali yake pamoja na vibaraka wake ambao wametanguliza matumbo yao mbele na kuuweka mustakabali wa jimbo letu tajiri na mustakabali wa taifa letu, "REHANI! NATANGAZA NIA"!!,
Nilihitimu Serengeti Sekondari miaka 19 iliyopita, nikaendelea na masomo IDM MZUMBE na kwingineko.
Nina msimamo usio badilika ktk mambo ya msingi, ni mfuatiliaji na mshiriki kwenye mijadala mbalimbali lakini zaidi, mimi ni miongoni mwa watanzania tunao amini katu, pasipo kuiondoa CCM madarakani..... maisha ya watanzania hususani wana serengeti, yataendelea kuwa hivi hivi, na wao CCM watabaki kuwa na uwezo na ulafi huo huo ilhali raslmali zetu zikiendelea kutafunwa na watu hawa hawa wa CCM na kuwanufaisha wao marafiki zao na watoto wao!
Huyu ni Nyakarungu anapima upepo baada ya kukutwa na Mwigulu New Africa Hotel!!kama ameweza kutaja IDM-MZUMBE ameshindwa kutaja huko kwingineko?.
Kwa hiyo anapima kama Katibu mkuu aliwaona? Ngoja amvutia pumzi kama kweli alionekana watambana kama shonza mpaka akimbilie magamba!Huyu ni Nyakarungu anapima upepo baada ya kukutwa na Mwigulu New Africa Hotel!!