Nitafurahi sana kama nitampata binti/mwanamke huyu!!

Nitafurahi sana kama nitampata binti/mwanamke huyu!!

Sahar

Senior Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
184
Reaction score
83
Habari wana Jamvi!, ni jambo lisilofichika kwamba suala la kumpata mwenza mwenye mahitaji yanayo fanana au yanayokaribiana kuwa sawa ni jambo gumu..... Hivyo kwa kuzingatia hilo najitokeza kwenu kutangaza uhitaji wangu wa kuwa na binti ambaye atapewa nafasi ya kuwa rafiki yangu, na hata tukiona inafaa basi hatua zaidi zitachukuliwa....
 
Kuwa muwazi mkuu, sema nahitaji mupenzi, sio blah blah za rafiki.. Mwenzako Deborah juzi tu, jana yake kapata na saiv tunafanya utaratibu wa ndoa..
Thanks kwa kuliona hilo, binafsi naamini mapenzi yanahitaji yawe baina ya watu wanodhani wanaweza kuwa marafiki.......!!! Nishawahi kusikia kwamba wapenzi ambao ni marafiki wanafurahia sana mahusiano yao!!
 
Sio hivyo mkuu uliwaelewa vibaya, walisema Nanukuu.."Mpenz wako mfanye kuwa rafiki"

kuna ubaya gani ikiwa urafiki uanze na mapenzi yafuate!?? Ikiwa naamini kwamba katika urafiki ni rahic kutambua tabia bainifu na ndipo iwe rahic kumfanya awe/asiwe mpenzi!!
 
Habari wana Jamvi!, ni jambo lisilofichika kwamba suala la kumpata mwenza mwenye mahitaji yanayo fanana au yanayokaribiana kuwa sawa ni jambo gumu..... Hivyo kwa kuzingatia hilo najitokeza kwenu kutangaza uhitaji wangu wa kuwa na binti ambaye atapewa nafasi ya kuwa rafiki yangu, na hata tukiona inafaa basi hatua zaidi zitachukuliwa....

Hapo nilipo underline, sijapaelewa, unafikiri kutangaza hivi kwenye mtandao kuwa unahitaji mwenza mwenye mahitaji yanayofanana au kukaribiana na yako ndiyo njia sahihi ya kumpata mwenza? Hawa wa huku kwenye mitandao, utazijuaje tabia na mahitaji yao? Nao pia watajuaje tabia na mahitaji yako?
 
Hapo nilipo underline, sijapaelewa, unafikiri kutangaza hivi kwenye mtandao kuwa unahitaji mwenza mwenye mahitaji yanayofanana au kukaribiana na yako ndiyo njia sahihi ya kumpata mwenza? Hawa wa huku kwenye mitandao, utazijuaje tabia na mahitaji yao? Nao pia watajuaje tabia na mahitaji yako?

Uko sawa mkuu, ndio maana nikasema ni kazi ngumu. Hata hivyo katika urafiki inawezekana kuna baadhi ya mambo yakajibainisha
 
wako makazini lakini watakuja hivi karibuni.................
 
mmh mie nimepata rafiki kwanza ,usijali utampata tu wapo humuhumu,kila la kheri
 
da debora harusi yetu lini??

Premature wedding hïi! Hatutaki kuja kulalamikiwa humu kwamba jamaa haeleweki na vituko vingine. Tunataka kuambiwa wana mtoto, furaha na matatizo madogo madogo yaliyo ndani ya uwezo wao.
 
Wanawake wamejaa ni kiasi cha kuchagua umpendae na kumkandamiza ukiridhika na mashine unafanya timing unapiga mimba akikubali kuzaa unatangaza ndoa ujue huyo kapenda na kuridhika akichomoa mimba unaachana nae na kutafuta mwingine.Nikiamua naweza kugegeda wanawake hata 20 kwa siku tena sio wale poa.Mbona wanawake ni kama watoto tu.Kumjua mwenye upendo wa kweli ni baada ya miaka 20 katika ndoa mkuu.Jenga tabia ya kugegeda mabinti wasomi,walokole,ma ustazati,wafanyabiashara,wana ccm,mama ntilie na wa mtaani na wenye madaraka utakuwa na uzoefu wa love.Ila usimwambie ukweli mwanamke mpaka uende kaburini ni kudanganya tu na kugegeda kisha wako wa maisha atajitokeza humohuo.
 
Wanawake wamejaa ni kiasi cha kuchagua umpendae na kumkandamiza ukiridhika na mashine unafanya timing unapiga mimba akikubali kuzaa unatangaza ndoa ujue huyo kapenda na kuridhika akichomoa mimba unaachana nae na kutafuta mwingine.Nikiamua naweza kugegeda wanawake hata 20 kwa siku tena sio wale poa.Mbona wanawake ni kama watoto tu.Kumjua mwenye upendo wa kweli ni baada ya miaka 20 katika ndoa mkuu.Jenga tabia ya kugegeda mabinti wasomi,walokole,ma ustazati,wafanyabiashara,wana ccm,mama ntilie na wa mtaani na wenye madaraka utakuwa na uzoefu wa love.Ila usimwambie ukweli mwanamke mpaka uende kaburini ni kudanganya tu na kugegeda kisha wako wa maisha atajitokeza humohuo.

Wewe usingezaliwa ungemsababishia mama yako ugonjwa wa ajabu. Bora alikuzaa atoe maradhi.
 
Wewe usingezaliwa ungemsababishia mama yako ugonjwa wa ajabu. Bora alikuzaa atoe maradhi.
Aliccia acha matusi changia mada kwani mimi huo ndio ushauri wangu na hata mke nilipata kwa kupitia njia hiyo.
 
Wanawake wamejaa ni kiasi cha kuchagua umpendae na kumkandamiza ukiridhika na mashine unafanya timing unapiga mimba akikubali kuzaa unatangaza ndoa ujue huyo kapenda na kuridhika akichomoa mimba unaachana nae na kutafuta mwingine.Nikiamua naweza kugegeda wanawake hata 20 kwa siku tena sio wale poa.Mbona wanawake ni kama watoto tu.Kumjua mwenye upendo wa kweli ni baada ya miaka 20 katika ndoa mkuu.Jenga tabia ya kugegeda mabinti wasomi,walokole,ma ustazati,wafanyabiashara,wana ccm,mama ntilie na wa mtaani na wenye madaraka utakuwa na uzoefu wa love.Ila usimwambie ukweli mwanamke mpaka uende kaburini ni kudanganya tu na kugegeda kisha wako wa maisha atajitokeza humohuo.

Kwa harakati hizo sidhani kama kutakuwa na hitaji la kuoa
 
Thanks kwa kuliona hilo, binafsi naamini mapenzi yanahitaji yawe baina ya watu wanodhani wanaweza kuwa marafiki.......!!! Nishawahi kusikia kwamba wapenzi ambao ni marafiki wanafurahia sana mahusiano yao!!

haswaa! Hujakosea
 
Kuwa muwazi mkuu, sema nahitaji mupenzi, sio blah blah za rafiki.. Mwenzako Deborah juzi tu, jana yake kapata na saiv tunafanya utaratibu wa ndoa..

unaona iko poa daud omar? polepole ndio mwendo si ndio maana mnatuita maharage ya mbeya. noooooo
 
Back
Top Bottom