Nitafika tu...!

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
Harakati za kutafuta maisha...!

Tutafika tu.JPG
 
Huu ni upunguani maana angeweza kurudia mzigo mwingine baada ya kufikisha wa kwanza.akili ka kifungo cha shati.
 
Marufuku Marufuku kukata tamaaaa,
Marufuku Maruku kukata tamaaa,
 
Huu ni upunguani maana angeweza kurudia mzigo mwingine baada ya kufikisha wa kwanza.akili ka kifungo cha shati.

Anatoka mbali sana mwendo wa masaa 2 kufika sokoni, akifika atamuachia nani pale kwa wajanja na akirudia atakuja kuuza saa ngapi?
Huyu utakuta ana mke na watoto, kwa vile haki sawa kwa wote, mke wake naye angebeba vivyo hivyo kuongeza kipato cha familia!
 
sasa mbaya baada ya mahangaiko yote wanakuja wale wanaojiita wa mujini wanauchukua muzigo wote na kudai haparuhusiwi kufanya biashara
 
Kama pato litokanalo na jasho hilo linafika walau katika familia yake, heri na iwe juu yake isije kuwa mkwanja wote waishia kwa Mama Nipimie, watoto wanapiga miayo tu nyumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom