Anatoka mbali sana mwendo wa masaa 2 kufika sokoni, akifika atamuachia nani pale kwa wajanja na akirudia atakuja kuuza saa ngapi?
Huyu utakuta ana mke na watoto, kwa vile haki sawa kwa wote, mke wake naye angebeba vivyo hivyo kuongeza kipato cha familia!
Kama pato litokanalo na jasho hilo linafika walau katika familia yake, heri na iwe juu yake isije kuwa mkwanja wote waishia kwa Mama Nipimie, watoto wanapiga miayo tu nyumbani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.