Mr Journalist
Member
- Aug 16, 2025
- 15
- 44
Mimi ni Kijana wa Mika 25, nimehitimu Chuo kikuu Mwaka huu 2026, nimesoma Issue za Journalism (Degree)
Nimekuwa natafuta Ajira ila nikiuliza Jamaa zangu ambao wapo kwenye ajira kwa muda sasa wananiambia wao Mishahara yao ni 250k hadi 300k na mwenye Mshahara mkubwa ni 500k
Sasa nilipiga hesabu kwa Mshahara wa 400k kwa Mwezi na matumizi yangu kwa Mwezi mzima nikaona hata nikisema napata kazi ya 500k kwa Mwezi bado kwa Maisha ya Dsm naona kama sitoboi nitaishia kuwa mtumwa wa Ajira maana naona kama nitakuwa natafuta Kodi, chakula na Nauli tu
Sasa najiuliza pasi majibu, ni fanye kazi gani na sitaki kurudi mkoni (Nyumbani) maana hakuna mazingira tuseme nitapata mtaji wa biasha zaidi ya kwenda kuwaongezea mzigo wazazi..
Nimekuwa natafuta Ajira ila nikiuliza Jamaa zangu ambao wapo kwenye ajira kwa muda sasa wananiambia wao Mishahara yao ni 250k hadi 300k na mwenye Mshahara mkubwa ni 500k
Sasa nilipiga hesabu kwa Mshahara wa 400k kwa Mwezi na matumizi yangu kwa Mwezi mzima nikaona hata nikisema napata kazi ya 500k kwa Mwezi bado kwa Maisha ya Dsm naona kama sitoboi nitaishia kuwa mtumwa wa Ajira maana naona kama nitakuwa natafuta Kodi, chakula na Nauli tu
Sasa najiuliza pasi majibu, ni fanye kazi gani na sitaki kurudi mkoni (Nyumbani) maana hakuna mazingira tuseme nitapata mtaji wa biasha zaidi ya kwenda kuwaongezea mzigo wazazi..