Nitaendelea kuwaheshimu waliosoma chuo kikuu kuanzia huko Nyuma mpaka walau 2010, siku hizi kitu ni full ku claim kuwa na Universal knowledge

Hivi mtoa mada account yako ya bank ina kiasi gani, una mradi wepi na wepi na vipi umeandaa mazingira ya mwanao kuishi vizuri kiuchumi.

Una hisa kiasi gani na kwenye kampuni gani.

Je unaweza kunipa uhisiano wa mfanyakazi wa kawaida mfano Doctor na mwaka wa kuzaliwa mwinyikazi.

Je unajiona umeelimika kwa kujua utumwa ulikomeshwa lini, endapo katika jamii yako kutakiwa na shida ya maji kukomeshwa kwa utumwa kutasaidia nini.

NB: wewe ni mmoja kati ya wale wazee wanaozeeka na ujinga wao, ni wazee muliosoma Formal education kwa madhumuni ya kukuelimisha bila kujua ndani yake hakuna contents zitakazo kuelimisha wewe bali kuandaa proffessional na ajira tu, elimu pekee ya kukuelimisha ni Informal esucatio hii ni elimu isiyo na mipaka.


Mzee usiena mawazo eti UN imeanzishwa lini mwenyewe unakuja kutamba kabisa katika kizazi cha malengo makubwa ya kufanikiwa maishani.

Iyo UN yako unayokariri jana tu imekamatwa inaiba madini.

Kuwa na mawazo unatia aibu hadi vijana wanakushinda mawazo, acha utumwa wa kielimu futa madude yasio na maana ingiza vitu vya maana jua Assert inafaida gani, Tofauti ya Bussines na Investment, Stock market ndio nini, Real Estate nini nini.

Je hakuna fursa kwenye Real Estate vijana kuichangamkia, je tukiunganisha taaluma ya IT na Real Estate hatuwezi kuwa na platform inayodili na Real Estate tukapata chochote.

Hayo ndio mawazo ya karne ya 21, Elon Musk anafikilia kwenda mwezini kama anaenda Moro, Free internet dunia nzima, fastest transport Dar to Dom kwa dakika, wakina Mark kila siku wanaongeza server za information huko wewe umekalia kujua Mwinyi tupatupa alozikwa wapi.

Watu wanachakata ubongo kupata mtaji watusue maisha wewe unaleta habari za kingazija nyauba mkubwa.


Badilika mzee.
 
Sasa kama chuo kikuu kinakaa zaidi ya Miaka 10 hawajafanya tafiti yeyote unadhan hata wanafunzi watakuwa na ujuzi.

Kama Tutorial au lectures kapata kazi kwa njia ya rushwa unadhan atakuwa na uwezo wa kufundisha.. Kuna vitu vingi vinachangia hiyo Hali siyo tu wanafunzi.
 
Mm umenifurahisha sana uliposema Thomas Sankara maana watu wengi hawamfahamu hata kidogo ,kwa sababu yuko kwenye Profile picha yangu.
 
Mkuu... Wengine tuliosomaga technical schools... Kwa hiyo hatukusomaga vitu vya ajabu ajabu.
 
Kuna mwingine ni Phd holder ambaye amekuwa kiongozi mkubwa serikalini kwa muda mrefu lakini mpaka 2015 alikuwa hajui Saddam Hussein ilikuwa rais wa wapi..

Mwingine alikuwa waziri wa elimu akiitwa Mlugo alichokuwa akijua ni kwamba Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.

Hao wote niliowataja kuna shahidi za video kabisa hii ina maana hata hawa wadogo wanaweza anzisha uzi kinyume na huu kwa kutumia hizo reference.

Hata hivyo naunga mkono hoja.
 
Nyie mliosoma zamani si ndio type za Polepole ,jpm (huyu ana phd ya UDSM kabisa), Lowasa aliyetufikisha hapa tulipo..

Hicho kizazi cha 2010 kurudi nyuma hamna cha kujivunia hata kidogo maana maisha tuliyoyakuta ni magumu tu .
Kujua kwenu tofauti ya UN na AU hakujabadirisha maisha kwa namna yoyote sana mlikua mnakariri mambo yasiyowasaidia kitu

Hata malecture wanaofundisha sasa hivi ni nyie nyie mliosoma zamani.
Sasa tatizo ni nani?? Tafakari
Unasema
 
Ajira zenyewe tabu afu bado unataka watu wateseke. Nafikiri wawe competent na jambo flan. Injinia awe vzuri, km n mfugaji awe vzuri, km tailoring awe vzuri kweli
 
Back
Top Bottom