Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

avatar216558_1.gif
 
Kwani watu mna shida gani ya uandishi wa "hakili" badala ya "akili"..."hitulie" badala ya "itulie" hii "H" inatokea wapi??? Utakuta jitu linaandika "hupo" badala ya "upo"...naona kiswahili kinaharibiwa kwa makusudi, mwandishi wa uzi huu akiwemo pia.
 
Akili yako ikitulia nitafute...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
were you high on weed when you signed up for JF??...WHAT A NAME LADY!!!
 
Back
Top Bottom