NIT registration ni tarehe 28 Nov

NIT registration ni tarehe 28 Nov

Ngiyemenya

Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
67
Reaction score
32
Afadhali tarehe ya kuripot NIT 28 november 2016 manake kama kuandamana kuhusu mkopo watakuwa wameandamana sanaa na kitakuwa kimeeleweka.

Kuona ratiba nzima, Bonyeza HAPA
 
Afadhali tarehe ya kuripot NIT 28 november 2016 manake kama kuandamana kuhusu mkopo watakuwa wameandamana sanaa na kitakuwa kimeeleweka.
daah mkuu umeniwahi aisee nilitaka niipost usiku wa leo....hadi tarehe 28 mbivu na mbichi zitakuwa zimejulikana...ngoja niendelee kuangalia hili muvi...naona stering anakoki 'binduki'
 
daah mkuu umeniwahi aisee nilitaka niipost usiku wa leo....hadi tarehe 28 mbivu na mbichi zitakuwa zimejulikana...ngoja niendelee kuangalia hili muvi...naona stering anakoki 'binduki'
hahaaaa kweli kiongozi yaani tusubili picha la kihindi
 
daah mkuu umeniwahi aisee nilitaka niipost usiku wa leo....hadi tarehe 28 mbivu na mbichi zitakuwa zimejulikana...ngoja niendelee kuangalia hili muvi...naona stering anakoki 'binduki'
Mbona mkopo naona nao wataanza kutoa majina soon maana jana nimecheki account yangu nkakuta nimepewa ila hawajaweka asilimia
 
Karibuni sana vijana NIT the mother of transportation course east africa,ila chuo kinapitia mabadiliko mengi sana ya kiuongozi na kimazingira hivyo jitahidini kua wavumilivu maana idadi ya wanafunzi inaongezeka siku baada ya siku,hivyo mifumo pia inakua katika changamoto kubwa ya mabadiliko,muhimu kujua chuo bado kipo katika wizara ya uchukuzi so mtakutana na madereva kibao daily,msijedhani nao ni walimu mkasalimia kila saaa kwa hofu.Msisahau kuwahi hostel za chuo mapema maana ni chache mno hivyo atakaye wahi basi atapata.Asante
 
Karibuni sana vijana NIT the mother of transportation course east africa,ila chuo kinapitia mabadiliko mengi sana ya kiuongozi na kimazingira hivyo jitahidini kua wavumilivu maana idadi ya wanafunzi inaongezeka siku baada ya siku,hivyo mifumo pia inakua katika changamoto kubwa ya mabadiliko,muhimu kujua chuo bado kipo katika wizara ya uchukuzi so mtakutana na madereva kibao daily,msijedhani nao ni walimu mkasalimia kila saaa kwa hofu.Msisahau kuwahi hostel za chuo mapema maana ni chache mno hivyo atakaye wahi basi atapata.Asante
Asante sana mkuu
 
Mbona mkopo naona nao wataanza kutoa majina soon maana jana nimecheki account yangu nkakuta nimepewa ila hawajaweka asilimia
umeandikiwaje mkuu..mi nimechek nimekuta not allocated in 1st batch..daah n shida
 
Back
Top Bottom