Nissan X-Trail

Habari wadau, nina Nissan xtrail ya mwaka 2008. Ikifika speed kati ya 40 na 60 gari inavuma sana na kuanza kutetemeka. Ila nikivuka hadi 80 mvumo unapungua kidogo. Je tatizo laweza kuwa nini?
tafuta fundi mzuri aangalie....injini mounts na gear box mounts, pia aangalie wheel bearings kama zimechoka huwa zinasababisha mvumo fulani na kama zimechoka sana gari hutetemeka....pia aangalie matairi yako kama yamevimba au huenda yanahitaji wheel balancing...
Mwisho jiridhishe kuwa injini haina misfire..

Japo swali lako halijashiba...hujaeleza mvumo unatoka kwenye injini au kwenye matairi
 
tafuta fundi mzuri aangalie....injini mounts na gear box mounts, pia aangalie wheel bearings kama zimechoka huwa zinasababisha mvumo fulani na kama zimechoka sana gari hutetemeka....pia aangalie matairi yako kama yamevimba au huenda yanahitaji wheel balancing...
Mwisho jiridhishe kuwa injini haina misfire..

Japo swali lako halijashiba...hujaeleza mvumo unatoka kwenye injini au kwenye matairi

Asante Boeing 747,

Gari nimepeleka kwa fundi juzi na jana. wheel bearings ziko vizuri, sina hakika kama walingalia engine and gear box mounts. Pia tairi za gari zote hazijavimba. ila leo nitapelela kwa ajili ya wheel balancing. nitaleta mrejesho.
 
Ok...ila pia usisahau kuangalia Mounts za engine na gea box, pia angalia kama kuna miss fire....kama kuna cylinder haichomi gari hutetemeka ukiwa speed ndogo..ila kuanzia 70 hivi linatulia
Asante Boeing 747,

Gari nimepeleka kwa fundi juzi na jana. wheel bearings ziko vizuri, sina hakika kama walingalia engine and gear box mounts. Pia tairi za gari zote hazijavimba. ila leo nitapelela kwa ajili ya wheel balancing. nitaleta mrejesho.
 
Heshima kwenu wakuu? Nina uhitaji wa Nissan xtrail iliyotumika hapa Tanzania yenye hali nzuri na ubora. Kama unayo nicheki pm tuyajenge. Ikiwa toleo la mwaka 2005, iwe 4wd, na rangi ya silver itapendeza zaidi.
NB: Ningependa kuipata kwa mmiliki mwenyewe kwani bajeti imebana kiasi haiitaji dalali.
 
Mkuu wacha niku add kwenye phone book yangu hembu fanya nipate namba yako nipo dar mm ni fundi umeme wa magari huwa nakuja sana moro..

Ishu ya nissan kwa upande wangu nilikuwa na mpango wa kuanzisha club au group la nissan.

Tena nawafanyia golo kwa watakao taka wawe wanaweza kuifanyia diagnosis popote pale watakapo kuwa dunian iki mkadi wawe na smartphone yao tuu tatizo likiwa kubwa nawapimia mm hata wakiwa nje ya nch na gari.

Juu ya dpf isikutishe sana.ukijua matumizi yake harafu wazungu sio wajinga sana dpf huwa wanaweka batan ukibonya inajisafisha yenyewe ishu ni kuwa wengi huwa hawajui na hawafanyi hivyo.

All in all solution yake ipo ikiziba inatolewa na kuidelet dpf kwenye control box mambo yana songa
Weka namba ya hilo group LA watsaap mkuu.
 
Kwa wale watakaohitaji Nissan Xtrail Review wataipata hapa
hii ni nzuri but reviews toka kwa mtu ambaye ashaitumia kwa mazingira ya Tz ni nzuri zaidi
 
hii ni nzuri but reviews toka kwa mtu ambaye ashaitumia kwa mazingira ya Tz ni nzuri zaidi
X trail ni watu wqnaziponda bure....ukifuata masharti yake unapeta sana....na kwenye tope hizo rav 4 zinachuchumaa
 
Naomba nikuambie kitu, japo najua wenye Toyota zao watakuja kupinga, siwakatazi kupinga kwa sababu kila mtu ana uhuru wake...

Sikushauri utoe thermal start kama watu wanavyokushauri....Mjapan aliyeiweka si mjinga.

Hizo habari za kwamba Xtrail zina ugonjwa wa kuchemsha ni MYTHS tu ambazo watu wamekuwa wakiamini kwa sababu..

Nissan xtrail huwa halitaki kuweka maji ya bombani kwenye radiator, wabongo tunapenda urahisi wa mambo...unakuta mtu anamiliki vitz anaweka maji ya bombani, basi na kwenye x ttail anafanya hivyo....x trail iwekee coolant iliyopendekezwa... coolant hupooza gari kwa kiwango kinachotakiwa tofauti na maji ya bomba, kisima au mtoni.

Weka engine oil iliyopendekezwa na mtengezaji sana sana iwe 5w 30...kibongo bongo tunaamini zaidi Castrol au Total.....kumbuka oil mbali na kulainisha injini, pia hupooza injini..

Mara kwa mara hakikisha kiwango chako cha coolant hakishuki below the minimum level.

Kuna watu wapo wanamiliki x trail zaidi ya miaka 6 sasa, wameshafanya nazo masafa karibu mikoa yote na nje ya nchi mfano Kenya, Uganda bila kufanya modifications zozote kwenye engine....

Ingekuwa haya magari ni mabovu kama watanzania wanavyosema, Nissan Motors Corporation Japan wangeshasitisha uzalishaji wake...ina maana ni gari zinazofanya vizuri ndiyo maana uzalishaji wake unaendelea na sasa Nissan Xtrail wapo Generation ya tatu kama sikosei...

Mafundi wa Tanzania hawataki kusoma, wamezoea mifumo ya Toyota, hivyo wao ndiyo chanzo kikubwa cha kuwakatisha watu tamaa kwa upande wa xtrail....
Sisi watanzania ni watu wa ajabu..mtu akishindwa kitu hataki kukubali, anakiponda...mafundi wengi x trail zinawatoa jasho, kwa hiyo wanawadanganya watu hizi gari hazitengenezeki....

Kwa ninj zisitengenezeke, gari lina OBD, ni kiasi cha kusoma code na kuitafsiri inaashiria nini, then you do a replacement

Chonde chonde, x teail usiipeleke kwa mafundi makanjanja, mwembeni...ukihisi tatizo weka vipimo vya computer, replace parts with genuine ones......hapo x trail utaiendesha miaka 8 bila kujuta.
Siku zote usichukue experience ya utunzaji wa Toyota ukaihamiahia kwenye X trail..hapo utateseka...

Mwisho.....gari ni matunzo kwa kuzingatia instruction manul yake.....na si kwa kuzingatia maneno ya watanzania.
Mkuu, hivi recommended coolant kwa xtrail petrol engine hizi za 2001 hadi 2007 ni ipi?
 
tafuta fundi mzuri aangalie....injini mounts na gear box mounts, pia aangalie wheel bearings kama zimechoka huwa zinasababisha mvumo fulani na kama zimechoka sana gari hutetemeka....pia aangalie matairi yako kama yamevimba au huenda yanahitaji wheel balancing...
Mwisho jiridhishe kuwa injini haina misfire..

Japo swali lako halijashiba...hujaeleza mvumo unatoka kwenye injini au kwenye matairi
Ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom