LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Usihangaike na kutaguta CAT kwanza ni garama kubwa but huo ugonjwa una solution kama 3 hivi ninazo zifaham mimi..kuzidelet hizo oxygen senaor kwenye ECM control box, kuzifanyia utundu kwa kuidanganya control box hapo pia kuna njia mbili. Na mwisho kufunga kimodulatot..Leo pia gari limerudi limewasha MIL. Baada ya kuisoma code tumepata ni zile zile za jana.
Tukiangalia exhaust ya gari, ina kosa CAT converter na kuleta shida mbili, kwanza zile gesi zinapita kwa kazi kubwa sana na kwa hivyo Oxygen sensor zinaashindwa kusahihisha air/fuel mixture vizuri, pili, bila kuchuja au convert zile gesi, mfumo unapata taarifa zisizoeleweka kuhusu jiko/combustion.
Baada ya kubadilisha oili, gari ilitulia kiasi. Wacha tuitaftie CAT converter yake halafu twende kutoka hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia rahisi na yenye garama ndogo ni hiyo ya pili.kama utahitaji tuwasiliane mkuu nitakuelekeza jinsi ya kufanya..buree kabisaaaa