Nissan partol inauzwa bei poa

Nissan partol inauzwa bei poa

uwiiiiiii!!!!! Wana jf tumetukanwa......tumetukanwa jamani tumetukanwaaaaaaaa....... Kumbe mtu yeyote tajiri hawezi kuwa jf saa nane usiku????? Na kumbe jamii forum ni ya watu wenye kipato cha chini wenye kipato kikubwa hawaingii jf????? Na kumbe mtu akishindwa kuandika vizuri neno (to spell landcruiser-akaandika "landcruizer") ni mtu mwenye kipato duni???? Uwiiiiiiiiiii!!!!! Mods mmeliona hili??????
Jf ni ya watu maskini tu kumbeeeeeeeeee????????? Ninauchungu sana...........

Subiri waje hapa hao watu wako uliowaita tuone watakusaidia kitu gani. Wewe unadhani kila mtu hapa anatumia masaburi kufikiria? Mwenzako analeta thread ya maana afanye biashara ili maisha yaendelee wewe badala ya kuchangia mambo ya maana unaleta masihara. Kama unataka mambo ya mdhaha nenda jukwaa la jokes. Idi*t.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mashauzi classic. Mtu mwenye uwezo wa kuwa na milioni 38 hawezi kuwa online JF saa nane usiku. Hiyo Land Cruiser yenyewe huwezi hata kuiandika. ACHA NISHAI MKUU.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Umekariri mtu mwenye fedha anawezafanya chochote kile.hivi wewe ukimiliki M38.tabia yako itabadirika?
 
Umekariri mtu mwenye fedha anawezafanya chochote kile.hivi wewe ukimiliki M38.tabia yako itabadirika?

Usitake tumwaribie mkuu thread yake. Mkuu yupo kazini anatafuta hela. Wewe kama unataka tubishane nikuPM namba yangu uniambie tukutane wapi tubishane weeeeeeeeeee siku nzima ila nakuhakikishia nitakushinda tu. Acha mkuu afanye biashara.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Subiri waje hapa hao watu wako uliowaita tuone watakusaidia kitu gani. Wewe unadhani kila mtu hapa anatumia masaburi kufikiria? Mwenzako analeta thread ya maana afanye biashara ili maisha yaendelee wewe badala ya kuchangia mambo ya maana unaleta masihara. Kama unataka mambo ya mdhaha nenda jukwaa la jokes. Idi*t.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

I see kumbe!!!!! Ndo maana vichaa ni wengi siku hizi.....
 
Usitake tumwaribie mkuu thread yake. Mkuu yupo kazini anatafuta hela. Wewe kama unataka tubishane nikuPM namba yangu uniambie tukutane wapi tubishane weeeeeeeeeee siku nzima ila nakuhakikishia nitakushinda tu. Acha mkuu afanye biashara.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hahahahhaaaa...
Mkuu punguza bei utauza tu mashine hiyo.
 
Nissan partol manual five door black metaric........imetembe kilometa chache ipo oda bado inauzwa bei chee milion 19..... Anae hitaji nipigie 0713935738

Kweli dunia inakwisha. Wenzako wanauza ndege shs. 500,000/= wewe unauza gari 19m/=? Hapo ningepata ndege ngapi?

Sent from my GT-P7500 using Tapatalk 2
 
uwiiiiiii!!!!! Wana jf tumetukanwa......tumetukanwa jamani tumetukanwaaaaaaaa....... Kumbe mtu yeyote tajiri hawezi kuwa jf saa nane usiku????? Na kumbe jamii forum ni ya watu wenye kipato cha chini wenye kipato kikubwa hawaingii jf????? Na kumbe mtu akishindwa kuandika vizuri neno (to spell landcruiser-akaandika "landcruizer") ni mtu mwenye kipato duni???? Uwiiiiiiiiiii!!!!! Mods mmeliona hili??????
Jf ni ya watu maskini tu kumbeeeeeeeeee????????? Ninauchungu sana...........


Watoto wa mboga 7 utawajua tu
 
Back
Top Bottom