Dah gari yako inaonekana nzuri sana
Utakuwa dalali namba 3 au 4. Maana huna details za gari. Hata nikikuuliza rangi ya gari si ajabu hujuiHabari
Gari aina ya nissan murano mbichi inauzwa,tuwasiliane kwa namba 0719308160 kwa anayehitaji.
Gari ni namba DFC ipo Dar,ipo kwenye hali nzuri sana, Haina tatizo lolote, nyaraka zote za umiliki wa gari zipo, Haidaiwi na ipo kwenye hali nzuri sana
Ahsante
Hata kama lna tatizo sijawa sikia mwenye gari anasema lina tatizo atakayenunua baada ya mwezi tu ndio utaanza kusikia mara linagonga mara linavujisha oil mara lina tatizo kwenye clatch ukimuuliza mwenyewe atakwambia undeshaji wako ndio umeharibu. kueni wakweli sababu ya kuluza na mengine tutaelewa tutatnunua weka pichaHabari
Gari aina ya nissan murano mbichi inauzwa,tuwasiliane kwa namba 0719308160 kwa anayehitaji.
Gari ni namba DFC ipo Dar,ipo kwenye hali nzuri sana, Haina tatizo lolote, nyaraka zote za umiliki wa gari zipo, Haidaiwi na ipo kwenye hali nzuri sana
Ahsante
Mnaisifu gari kama vile wengine tumeiona wekeni picha, isitoshe hizo CC 5000 huoni ni balaa la kunywa mafuta lazima itaenda kwa lita 1 km 7 sawa na V8
Mkuu hakuna aliesifia ila ni wanajaribu kumuonesha muuzaji kwamba tangazo lake lina mapungufu makubwaMnaisifu gari kama vile wengine tumeiona wekeni picha, isitoshe hizo CC 5000 huoni ni balaa la kunywa mafuta lazima itaenda kwa lita 1 km 7 sawa na V8
jaribu kuendesha uone si ajabu cylinder zilisha tanuka kwa hiyo usiitumie mjini kwa mizunguko ya kawaida maana itakunywa sana kuifaidi tumia kwa safari ndefu na utembelee 120kph ndio utaona inakunywa kidogoHahahah cc 5000 si lori hilo