Cc 1890????? Namba AGB????? Manual???? Hata milioni moja sinunui. Hii gari peleka makumbusho ya taifa au DIT au Veta au NIT ili wanafunzi wakajifunzie walau kupaka rangi na mambo mengineyo kuhusu magari. Halifai kwa matumizi ya binadamu!
na iyo pump yake uliisaka kwa miaka mingapi ndo ukaipata?
Engine yenyewe ya NISSAN inauzwa 3m,sasa hiyo vipi copo au?
peleka geita utapata mteja
Toka lini gari ya petrol ikawa na pump mkuu?
Kwenye gari za petrol inayotoa mafuta kwenye tank kwenda kwenye ingini inaitwaje kweli?