Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,550
Toka lini gari ya petrol ikawa na pump mkuu?
Amekwambia ni diesel jomba.
Toka lini gari ya petrol ikawa na pump mkuu?
Huo ni ugonjwa wa moyo mafundi wote hapa mjini lazima wakufahamuCc 1890????? Namba AGB????? Manual???? Hata milioni moja sinunui. Hii gari peleka makumbusho ya taifa au DIT au Veta au NIT ili wanafunzi wakajifunzie walau kupaka rangi na mambo mengineyo kuhusu magari. Halifai kwa matumizi ya binadamu!
Huo ni ugonjwa wa moyo mafundi wote hapa mjini lazima wakufahamu
bei yake ni sawa na pikipiki boxer,changamkieni gari vijana muuzie sura mjini
OK OsabaMkuu gari nimeshaiuza
We acha tu tena kiroba chenyewe kime expire tokea 2007We Frank acha viroba 2013 hado leo.
Huna uelewa wa magari. cc 1890 sio mwaka lililotengenezwa. Unashangaa AGB hujaona AAA huko barabarani? Tusiwe tunatoa comment za kukomoana na kukatishana tamaa bila kuchambua usahihi wa coment zetu. Osaba gari inauzika kabisa hiyo kitu maelewano tu!
Cc 1890????? Namba AGB????? Manual???? Hata milioni moja sinunui. Hii gari peleka makumbusho ya taifa au DIT au Veta au NIT ili wanafunzi wakajifunzie walau kupaka rangi na mambo mengineyo kuhusu magari. Halifai kwa matumizi ya binadamu!
Nishaliuza wewe kwa bei nzuri tu na aliyelinunua hadi leo hajalalamika na linapiga kazi kama kawa