Nenda youtube search artsteer utapata knowledge on the same day
Hiyo ni incase wewe wewe sio mtu wa kwenda shule tena
Kama ni wa shule basi nawasubiri walosomea
Mkuu kama unaweza ingia class nakushauri japo na hizi za mtandaoni zina msaada lakin ukiwa na foundation ya baadhi ya vitu itakua vizuri
Mfano
Watu wengi wanadhani website au blog ni kuingia na kuanza kucode tu wengine wamesimplfy zaidi na kutumia templates ambazo Iko tayari ni kubadili tu maneno. Baada ya hapo mtu anajiita developer. Wanasahau kuna vitu kama security, system analysis and design na mengine mengi. Chukulia pia mfano wataka kudevelop complex system ya makampuniakubwa kama Barrick na unafoundation tu ya kimtandao wakati wale ni watu wanahtaj vitu vya ziada. Simply kwenye web development ni kama tu unavotaka develop systems nyingine ambazo si hata web based. Kuna steps za kufata kama system analysis and design pia kuna kitu tunaita human computer interface design ukishakua na uelewa wa hivi vitu ni mtaji tosha.
mtafute Stefano Mtangoo au Nyasiro na C6 hawa nadhani kuna kipindi flan walikua wanafundisha madhani mpaka bado watakua wanafundisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.