Habari xenu wakuu, natumai ni wazima wa afya. Kama Kuna mtu ana hitilafu yeyote kiafya basi nichukue nafasi hii nimpe pole sana.
Dhumuni la kuja hewani leo ndugu zangu, kaka zangu, dada zangu na wakubwa wangu ni kuomba ushauri kwenu mm hivi karibuni natarajia nimalize elimu yangu shahada ya kwanza ya uhasibu wa umma na fedha 2022 katika chuo kinachotambulika na serikari hapa nchini.
Niliwahi kuulizia sehemu tofaut tofaut kuhusu CPA nilieleweshwa na Nina kaufahamu kidogo. Kuna baadhi ya watu walinishauri kusoma CPA itakula mda wako tu Kwa sababu wapo wengi sana waliosoma na maswala ya ajira Bado kwao changamoto wakaniambia ni kheri hiyo exam fees na tuition fees nianze business yeyote huku nikitafuta internship niwa na experience kwenye mambo ya uhasibu.
PIA Kuna wengne walinishauri kma unataka kuwa competent katika ajira hasa za uhasibu CPA ni sehemu sahii sana kwani hauchelew kupata kazi. Pia hata baadhi ya lectures wanatushauri sana tukimaliza tukafanye mitihan hyo. Najua humu Kuna watu wana weled sana na walishaingia kwenye mifumo hiyo inachoumiza kichwa zaidi mm Sina connection.
Je, uamuzi gani nichukue wakuu?
Natanguliza shukran kwenu
Dhumuni la kuja hewani leo ndugu zangu, kaka zangu, dada zangu na wakubwa wangu ni kuomba ushauri kwenu mm hivi karibuni natarajia nimalize elimu yangu shahada ya kwanza ya uhasibu wa umma na fedha 2022 katika chuo kinachotambulika na serikari hapa nchini.
Niliwahi kuulizia sehemu tofaut tofaut kuhusu CPA nilieleweshwa na Nina kaufahamu kidogo. Kuna baadhi ya watu walinishauri kusoma CPA itakula mda wako tu Kwa sababu wapo wengi sana waliosoma na maswala ya ajira Bado kwao changamoto wakaniambia ni kheri hiyo exam fees na tuition fees nianze business yeyote huku nikitafuta internship niwa na experience kwenye mambo ya uhasibu.
PIA Kuna wengne walinishauri kma unataka kuwa competent katika ajira hasa za uhasibu CPA ni sehemu sahii sana kwani hauchelew kupata kazi. Pia hata baadhi ya lectures wanatushauri sana tukimaliza tukafanye mitihan hyo. Najua humu Kuna watu wana weled sana na walishaingia kwenye mifumo hiyo inachoumiza kichwa zaidi mm Sina connection.
Je, uamuzi gani nichukue wakuu?
Natanguliza shukran kwenu