Nailyne
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 350
- 111
ninaye jirani yangu mahali ninapoishi kanijia na kisanga kilichomkuta,in short amekuta meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe na baada ya kufanya uchunguzi akagundua kuwa ni kweli mumewe alikuwa na mahusiano na mwanamke mwingine, mume akukubali na msamaha kaomba., ndoa yao ni changa miaka 2, bibie jirani yangu nimejaribu kumshauri atulize moyo konde amssamehe mumewe anasema amechoka kwani hii si mara ya kwanza kwa mume huyo kucheat amekuwa akimcheat hata kabla hawajaoana na bwana amekuwa akiomba msamaha lakini baada ya muda anarudia tena, sasa anachodai bibie amechoka kuvumilia maana hivyo vitendo vinamkwaza kiasi kwamba mapenzi kwa huyo bwana yamepungua sana hata ila hamu ya ku-do na mumewe imeikwisha.., kwa sasa wanalala mzungu wa nne! jamani wandugu nipeni mawazo niweze kumuelimisha huyu dada aokoe ndoa yake namwonea huruma ni mdogo to call the marriage off!!!!!!