Nishaurini nifanyeje

Nishaurini nifanyeje

Mke wa Ayoub

New Member
Joined
Aug 6, 2013
Posts
2
Reaction score
0
ninakaribia kufunga ndoa, nikiwa ndo naingia mwaka wa mwisho wa masomo. ninchojiulizaa ni kwama ninatakiwa kushika ujauzito mda gani? maana nikiwa chuo watu wanasema mimba yaweza nisumbua nisisome vizuri. kuna mamlaka moja inaweza kutoa nafasi ya fani yangu mwakani ambapo nitakuwa nimemaliza chuo nikiwa mjamzito siwezi kupata maana hawawezi kuajiri mtu ambaye mda mfupi atachukua maternity leave na ni sehemu yenye mshahara mnono.nkisema nisubiri nimalize chuo na kufanya kazi kidogo ndoa yangu itakuwa na miaka mi3, na nnaogopa sana maneno ya mawifi mana ana madada wa5 ukizingatia mume mwenyewe ana mtoto tayari:help:
 
ninakaribia kufunga ndoa, nikiwa ndo naingia mwaka wa mwisho wa masomo. ninchojiulizaa ni kwama ninatakiwa kushika ujauzito mda gani? maana nikiwa chuo watu wanasema mimba yaweza nisumbua nisisome vizuri. kuna mamlaka moja inaweza kutoa nafasi ya fani yangu mwakani ambapo nitakuwa nimemaliza chuo nikiwa mjamzito siwezi kupata maana hawawezi kuajiri mtu ambaye mda mfupi atachukua maternity leave na ni sehemu yenye mshahara mnono.nkisema nisubiri nimalize chuo na kufanya kazi kidogo ndoa yangu itakuwa na miaka mi3, na nnaogopa sana maneno ya mawifi mana ana madada wa5 ukizingatia mume mwenyewe ana mtoto tayari:help:


kelele za chura hazimzuii tembo kunya maji,,...kwan umeolewa na hao mawifi,,..kikubwa ni makubaliano kati yako wewe na huyo mumeo,,..listern to ur heart mydear,,..kamwe usisite kufanya kitu chenye manufaa yako na future yako kwa ujumla kwa kuwaogopa mawifi,,...ishi utakavyoishi lakini huwezi kukubalika na watu wote katika jamii,,..all in all focus on a thing wich has got more advantages than dis advantages,,...so the ball is on ur hand,,. mke wa ayubu
 
Last edited by a moderator:
ninakaribia kufunga ndoa, nikiwa ndo naingia mwaka wa mwisho wa masomo. ninchojiulizaa ni kwama ninatakiwa kushika ujauzito mda gani? maana nikiwa chuo watu wanasema mimba yaweza nisumbua nisisome vizuri. kuna mamlaka moja inaweza kutoa nafasi ya fani yangu mwakani ambapo nitakuwa nimemaliza chuo nikiwa mjamzito siwezi kupata maana hawawezi kuajiri mtu ambaye mda mfupi atachukua maternity leave na ni sehemu yenye mshahara mnono.nkisema nisubiri nimalize chuo na kufanya kazi kidogo ndoa yangu itakuwa na miaka mi3, na nnaogopa sana maneno ya mawifi mana ana madada wa5 ukizingatia mume mwenyewe ana mtoto tayari:help:


kelele za chura hazimzuii tembo kunya maji,,...kwan umeolewa na hao mawifi,,..kikubwa ni makubaliano kati yako wewe na huyo mumeo,,..listern to ur heart mydear,,..kamwe usisite kufanya kitu chenye manufaa yako na future yako kwa ujumla kwa kuwaogopa mawifi,,...ishi utakavyoishi lakini huwezi kukubalika na watu wote katika jamii,,..all in all focus on a thing wich has got more advantages than dis advantages,,...so the ball is on ur hand,,. Mke wa Ayoub,,...!!
 
Last edited by a moderator:
Maneno ya mawifi mbona yapo,ukiyawazia mbele hutasonga shosti

ingawa sio wote,mie nna my wii wangu Lady doctor tuko damu damu....

but if I were You I would choose my career first ila wewe hata hiyo nafasi ya kazi ni kama

its not granted inaweza ikatoka au isitoke!!!!!!!!!...........
 
Kaa na mwenzako mwambie ukweli kuhusu hiyo mipango yako maana ni ya msingi.Kubeba mimba huku unasoma ni mzigo mkubwa unaweza ukaambulia sap na kama hauko makini disco kabisa.Kama atakataa basi ujue huyo si chaguo la Mungu kwako hivyo Mungu atakuletea Mume husika.Unajua ndoa nyingi zinakuwa na migogoro kwa sababu watu walikuwa wanalazimisha mambo enzi za uchumba wao.
 
duh mi kwenye hiyo kazi itakayotoka ndo umeniacha hoi,kwani una guarantee ya kuajiriwa hizo post zikitoka?anyway naona umepanga mipango miiiingi kama vile ww ndo muumba we umejuaje kama utapata huo ujauzito muda huo unaoutaka ww,ukinijibu maswali yangu tutaenda sawa.
 
^^
Jamiiforum ni ya muhimu sana,,kama mtu anaingia mwaka wa mwisho chuo kikuu halafu hajui afanye nini juu ya maamuzi yahusuyo mwili wake!!
Hongereni washauri wa MMU.
^^
 
Back
Top Bottom