Bila shaka mu wazima mukheri wa afya njema, imenilazimu niandike humu kuomba msaada wenu wa ushauri, sielewi ni nini kimenipata, nilikuwa na demu wangu ninaempenda sana, sababu mimi ndiyo niliyemtoa usichana wake, nimekutana naye kwa Muda wa miezi kadhaa ghafla yule dada akaanza kuwa na maji ukeni kitu ambacho sikifurahii, hadi nilishawahi leta mada humu jamvini mnishauri jinsi ya kuyapunguza kama si kuyaondoa kabisaa, pia nilisha mkataza kula ndizi na nyanya chungu coz nimpenzi wa hivo vitu.
Nikakaa miezi kadhaa bila kukutana naye kimwili coz nilisafiri kidogo baada ya miezi mnne nilipokutana nae nikakuta hali ni ile ile, kiukweli niliamua kumkwepa kimtindo japo sikumweleza direct, ila sasa juzi nimeona bandiko la rubii humu kuhusu wanawake kupiga nyeto, nikagundua huenda demu wangu nae ni muumini wa nyeto, coz kutokana na bandiko lile ni athari anazopata mwanamke ni pamoja uke kutoa maji wakati wa tendo, je anaweza kurudia hali yake ya kawaida kweli?
Bado namuhitaji nisaidieni tafadhali.
Nikakaa miezi kadhaa bila kukutana naye kimwili coz nilisafiri kidogo baada ya miezi mnne nilipokutana nae nikakuta hali ni ile ile, kiukweli niliamua kumkwepa kimtindo japo sikumweleza direct, ila sasa juzi nimeona bandiko la rubii humu kuhusu wanawake kupiga nyeto, nikagundua huenda demu wangu nae ni muumini wa nyeto, coz kutokana na bandiko lile ni athari anazopata mwanamke ni pamoja uke kutoa maji wakati wa tendo, je anaweza kurudia hali yake ya kawaida kweli?
Bado namuhitaji nisaidieni tafadhali.