Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,514
Sabalkheri wanajamvi wa MMU.
Nimekuwa msomaji wa uzi mbalimbali katika jukwaa hili lakini ni mara chache sana nimekua nikitoa mada.
Leo nina kisa kimoja ambacho ningeomba mnishauri wanajamvi, Ni hivi kuna mdada mmoja nilianza kumfuatilia kwa maana ya kumtongoza yapata mwaka mmoja na nusu umepita. Awali tulikuwa tunawasiliana vizuri kwa simu kwa miezi minne ya mwanzo na aliniambia yupo single by that time.
Kiukweli ni mdada alieumbwa akaumbika mashaallah. Lakini baada ya hapo ikawa kila nikimpigia simu hapokei au sometimes ananikatia na wala hajibu sms zangu kwa zaidi ya miezi nane hadi ikafika mahala nikakata tamaa kwa huyu bidada shosti.
Nilivyoona hali ngumu nawasiliana na mtu ambae ha-respond kwa chochote nikaamua kumpotezea.
Sasa mwezi uliopita yaani september picha likaanza tena. Baada ya kurudi zangu safari Dar kutoka Arusha nikawa nimelala zangu home ile naamka tu kucheki simu yangu nikakuta missed call yake. Wallah moyo ukashtuka kwanza mana nilijua hata namba yangu alishafuta kwenye contacts zake, So nikaamua kumpigia simu nijue kulikoni?
Basi nikamwendea hewani akapokea simu tukapiga stori za hapa na pale. Nikawa naweka bidii kwenye kuwasiliana nae akawa anapokea simu. Nikaanza kumkumbushia lile ombi langu akaanza kuniambia mara ooh nina boyfriend mara ooh hapendi kuwa nawasiliana nae.
sasa mi nikawa najiuliza kama ana mtu mbona ni yeye ndo alieanzisha mara baada ya kuyasitisha mwenyewe na yeye anajua kwamba kweli ninampenda na actually nilimuahi ninahitaji kumuoa.
Wajameni can i move on with that gal au nimpotezee mana nashindwa kumwelewa kabisa.
Ushauri tafadhali.
KING OF THE BEST MELODY
Nimekuwa msomaji wa uzi mbalimbali katika jukwaa hili lakini ni mara chache sana nimekua nikitoa mada.
Leo nina kisa kimoja ambacho ningeomba mnishauri wanajamvi, Ni hivi kuna mdada mmoja nilianza kumfuatilia kwa maana ya kumtongoza yapata mwaka mmoja na nusu umepita. Awali tulikuwa tunawasiliana vizuri kwa simu kwa miezi minne ya mwanzo na aliniambia yupo single by that time.
Kiukweli ni mdada alieumbwa akaumbika mashaallah. Lakini baada ya hapo ikawa kila nikimpigia simu hapokei au sometimes ananikatia na wala hajibu sms zangu kwa zaidi ya miezi nane hadi ikafika mahala nikakata tamaa kwa huyu bidada shosti.
Nilivyoona hali ngumu nawasiliana na mtu ambae ha-respond kwa chochote nikaamua kumpotezea.
Sasa mwezi uliopita yaani september picha likaanza tena. Baada ya kurudi zangu safari Dar kutoka Arusha nikawa nimelala zangu home ile naamka tu kucheki simu yangu nikakuta missed call yake. Wallah moyo ukashtuka kwanza mana nilijua hata namba yangu alishafuta kwenye contacts zake, So nikaamua kumpigia simu nijue kulikoni?
Basi nikamwendea hewani akapokea simu tukapiga stori za hapa na pale. Nikawa naweka bidii kwenye kuwasiliana nae akawa anapokea simu. Nikaanza kumkumbushia lile ombi langu akaanza kuniambia mara ooh nina boyfriend mara ooh hapendi kuwa nawasiliana nae.
sasa mi nikawa najiuliza kama ana mtu mbona ni yeye ndo alieanzisha mara baada ya kuyasitisha mwenyewe na yeye anajua kwamba kweli ninampenda na actually nilimuahi ninahitaji kumuoa.
Wajameni can i move on with that gal au nimpotezee mana nashindwa kumwelewa kabisa.
Ushauri tafadhali.
KING OF THE BEST MELODY