Fact mkuu Respect saanaJifunze kuwa jeshi la mtu mmoja, sio kila kitu chako lazima na marafiki wakijue kuwa msiri pia usiingilie mambo yake kama anatoka na dada wa ex wako au ex wako it's non of your business. Fata yako na fanya yako kimya kimya mbakie kuwa washikaji wa kawaida tu na sio kujuana nje na ndani
By the way sio vizuri ku expose life story yako yote kwa rafiki. Rafiki; waswahili wanasema ni mkia wa fisi. Lazima sometimes ufanye mambo kivyako sio kila kitu lazima umshirikishe eti. Siku njemaFact mkuu Respect saana
Ahsantee sanaa kila la kheri katikaa hii sikukuu ya pasakaaBy the way sio vizuri ku expose life story yako yote kwa rafiki. Rafiki; waswahili wanasema ni mkia wa fisi. Lazima sometimes ufanye mambo kivyako sio kila kitu lazima umshirikishe eti. Siku njema
Be blessed tooGet blessed madame jeshi la mtu mmoja sio