KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Naomba kujua ka waliojitolea kuokoa maisha ya watu pale westgate wameitwa Ikulu na kutunikiwa nishani.
Naomba kujua ka waliojitolea kuokoa maisha ya watu pale westgate wameitwa Ikulu na kutunikiwa nishani.
kaka hakuna askari wakupewa nishari pale wanajeshi waliingia na kuvunja mabenk na masonara ndo sababu walichukua uamuzi wa kulipua jengo harakax2Waliokoa watu wangapi jamani
na kukamata mashetani wangapi? Naomba mnifahamishe tu na wala sizuii
nishani zao.
Huyu jamaa Abdul Haji alijipanga ili apate sifa. Kati ya watu wasiostahili kupata nishani ni huyo. Kwanini Camera ikufuate wewe pekee? Au anaishi kwenye 3D. Alikuwa anatengeneza jina...
Hivi yule kijana shujaa Abdul Haji mtoto wa Waziri wa Usalama mstaafu wa Kenya ambaye si mwanajeshi je atapata nishani hizo??? Ila big-up guy!!!
Naomba kujua ka waliojitolea kuokoa maisha ya watu pale westgate wameitwa Ikulu na kutunikiwa nishani.
Huyu jamaa Abdul Haji alijipanga ili apate sifa. Kati ya watu wasiostahili kupata nishani ni huyo. Kwanini Camera ikufuate wewe pekee? Au anaishi kwenye 3D. Alikuwa anatengeneza jina...
Huyu jamaa Abdul Haji alijipanga ili apate sifa. Kati ya watu wasiostahili kupata nishani ni huyo. Kwanini Camera ikufuate wewe pekee? Au anaishi kwenye 3D. Alikuwa anatengeneza jina...
Waitwe Ikulu na kutunukiwa nishani kwa ushujaa gani walioufanya? Uchunguzi bado unaendelea............!!!
Mbona kwetu wale wa ghorofa walipewa nishani?