Nishakata tamaa na kuoa

Umetoka kutuambia mke wako anaomba taraka kwasababu wewe unatembea na mama yako,Sasa unahangaika kuoa tena wakati mama yako yupo ambaye unamvulia nguo kila siku
Kumbe ndo huyu?
 
Mnakuja kusoma mabango watu waliochanga tukiwa ndounataka kuoa
 
Kiv
p mkuu?
Kwa nionavyo mimi ukiwa serious kutafuta mke kwanza hupati na hata ukipata ndiyo mambo ya leo ndoa kesho talaka...
Angalia list ya vyuma vyako unavyogonga lazima kunakuwaga na chuma moja mnaelewana hata kama iko na kasoro zake lakini unakuwa tayari unazijua ko wewe hapo ni kuchekecha ndosi sasa je izo kasoro ntaweza vumilia kama ndiyo chukua chuma chako weka ndani
 
Kama umeshindwa kuoa basi olewa mkuu.

Sio kukata tamaa sema tu nimeshindwa kuoa

Usiogope mambo ni kujaribu.

Samahani ndugu, najua nimekukwaza ila najaribu kufikiria tofauti
 
Uende baharini kutafuta mbuzi,utupe nyavu,upate samaki,kweli uanze kulaumu watu?
Badilisha mawindo yako bana,acha upumbavu
 
SASA TULIO FLOOR HIYO NA HATUNA HATA WAPENZI WANAOELEWEKA TUSEMEJE ???




OMBA MUNGU TUU NA JICHANGANYE MTAAANI MKUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…