Nishakata tamaa na kuoa

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,745
Reaction score
4,092
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
 
Mmmh hvi n kwel mnakosa wanawke wa kuoa
 
hapana usikate tamaa, kitu kikubwa cha kuzingatia kabla hujaoa mwanamke ni hivi:
1) awe amelelewa na wazazi wote 2
2) awe anamheshimu mzee wake

ivi ndo vitu pekee unatakiwa kuzingatia kabla hujaoa vingine nyongeza tu
 
Usipaniki kijana.

Mvumilivu hula mbivu na mambo mazuri hayataki haraka pia haraka haraka haina baraka.
 
Wote unao waona ni wake za watu. Oa msaidiane majukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…