Nisapotini wakuu wangu

Nisapotini wakuu wangu

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,258
Ni kijana ambaye napambana nisapotini wakuu
IMG-20191102-WA0007.jpeg
IMG_20191031_182238.jpeg
IMG-20190520-00048.jpeg
IMG_20191029_164004.jpeg
IMG_20191027_072950.jpeg
IMG_20191026_181310.jpeg
IMG_20191025_171514.jpeg
IMG_20191024_181821.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20191026_181324.jpeg
    IMG_20191026_181324.jpeg
    49 KB · Views: 8
Hongera kwa ubunifu na kazi nzuri,ingawa wavaaji wa hivyo vitu kwa maeneo niliyotembelea mimi hawapo kwa wingi,na wengi Kama mwanaume anavaa hivyo vitu (ukiacha jamii za kifugaji),jamii humchukulia Kama anamapungufu flani, ima ni mvuta bangi au mhuni mhuni.Ungekuwa unaweza pata nafasi kenya,huko ndo vimetamalaki maana hadi raisi wao anavaa pasina wasi wasi.
 
Una patikana wapi kiongoz,ni cheki whatsapp 0625888090
 
Kama wailvyosema baadhi ya wadau mkuu mambo now days yanabadilika ni ngumu sana bidhaa zako kuuzika humu au maeneo ya mjini, kama upo serious na kazi nenda maeneo ya ndani ndani vijijini utapiga pesa maana ndiko wana mambo ya hizo vitu
 
Hongera kwa ubunifu na kazi nzuri,ingawa wavaaji wa hivyo vitu kwa maeneo niliyotembelea mimi hawapo kwa wingi,na wengi Kama mwanaume anavaa hivyo vitu (ukiacha jamii za kifugaji),jamii humchukulia Kama anamapungufu flani, ima ni mvuta bangi au mhuni mhuni.Ungekuwa unaweza pata nafasi kenya,huko ndo vimetamalaki maana hadi raisi wao anavaa pasina wasi wasi.
Sure...mm pia huwa nawachukulia wahuni...wangu ananunuaga huko bar akivaa tu naivua natupa...yaan mm uvae hivyo hapana aisee
 
Uko Vizuri Mkuu
Kama Ulivyofanya Kwenye Hizo Sandals. Tengeneza Mikanda Ya Saa, Tafuta Mikoba Ya Kina Mama Uinakshi Kwa Namna Mbalimbali, Cover Za Simu N.k.
Unganisha Sanaa Yako Na Vitu Ambavyo Vinatumika Sana Katika Jamii Kwa Kuviongezea Uzuri Katika Muonekano Wake.
 
Uko Vizuri Mkuu
Kama Ulivyofanya Kwenye Hizo Sandals. Tengeneza Mikanda Ya Saa, Tafuta Mikoba Ya Kina Mama Uinakshi Kwa Namna Mbalimbali, Cover Za Simu N.k.
Unganisha Sanaa Yako Na Vitu Ambavyo Vinatumika Sana Katika Jamii Kwa Kuviongezea Uzuri Katika Muonekano Wake.
Kazi nyingine hii mkuu
IMG_20191104_171653.jpeg


Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom