Nisameheni.

Nisameheni.

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,345
Waungwana hamjambo? Mie nipo humu muda mrefu(nikiwa nimeshasajiliwa), ila nilitumia utaratibu wa futari, kwamba ukikuta wenzio wanafuturu, nawe keti ufuturu, sikupiga hodi humu. Kama ni kosa naomba mnisamehe wanajamvi, ila kama si kosa, na burudani iendelee!
 
Karibu sana mkuu michango ndio ya muhimu kuliko kujitambulisha!!!
 
Ahsanteni, ahsanteni sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom