Nisamehe popote ulipo

Yaani umsave mzinguaji, akunyime papuchi kama adhabu sababu kimsingi hata wewe ungeseviwa hivo usingejisikia vizuri... Ndio umkatili dada wa watu kwa kumuacha sehemu bila nauli
Sijui hata ilikuwaje mkuu

Ila ilishatokea tayari.
 
Nilisha sema,, mwanamke yeyote yule,, siwezi mfanyia hivyo,, maana ninaupendo wa dhati,,nikisema nakupenda na kupenda kweli siwezi kufanya kitu kibaya zaidi hata kama unikatae,,ambacho hufanya ni kununua kitu,,kizuri hata cha hela ndogo nakumpa,,hata akikitupa,,naamin atanikumbuka tu pind aonapo sura yangu,,Ma X wangu woote wananipenda sana,,,ulichomfanyia mtoto wa kike ANNA,,, hata mimi sikusamehe,,, maana,, Wewe ni Muuwaji,, Je kama angeamua kujiuuwa,,Ungemuomba msamaha Nani? Omba msamaha muda mwafaka,,
 
Words!

Ila Anna ni MZINGUAJI hatari Mkuu!
 
Acha hizo wewe ndo ulimkwaza,,na kama ujuavyo,, tendo hilo unatakiwa uwe in Good mood,,hata vile adhabu ilikuwa kubwa mno
Nilimkwaza nini sasa Mkuu?

Kumsevu MZINGUAJI kuna kumkwaza hapo kweli?

Alitafuta tu sababu ya kuninyima papuchi Mkuu!
 
Nilimkwaza nini sasa Mkuu?

Kumsevu MZINGUAJI kuna kumkwaza hapo kweli?

Alitafuta tu sababu ya kuninyima papuchi Mkuu!
Kumbe tunashsili mtoto,,,achana na mimi kama huoni kosa lako,, ohooooo
 
duh...we ni jinga kabisa
 

Nenda stand ya Msamvu utamkuta ulipomuacha pumbavu kabisa
 
Jamani hebu tuwe tunangalia watu wa kudate nao maana wengine ni vichaa nusu.
 
Jamani hebu tuwe tunangalia watu wa kudate nao maana wengine ni vichaa nusu.
Hahahah..

Kama ulivyo wewe Mkuu.

Bora wakuepuke kabisa maana ukichaa wako siyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…