Nisamehe popote ulipo

Mtoa mada ni fala sana kwenye maisha,hata kama ulinyimwa ni kutokana huo huo ufala wako wa kumdharau mtu unaempenda kwa kum-save kikejeli,ulipaswa uhakikishe mtu aliyekuheshimu akafuata mpaka MKOANI kwenu anarudi salama.
Naamini katika siku yoyote tangu uzaliwe ulishachezewa kijambio mara moja au zaidi.
 
Kabla hujamfanyia ubaya mwenzio fkiria yakikupata wewe? Ukweli unatakiwa ujifunze roho.nzuri, dunia hii sio ya kumfanyia mtu tena mwanamke hivo
Surely I will never be as you have insinuated brother 'cause women are just like demented person.
 
Of course not.

I am your father so show some respect man.
 

Hakika hutakaa usamehewe ..chozi la huyo mwanamke litakutafuta popote pale ulipo...hutadumu katika mahusiano yako hata kidogo....utateseka sana kwenye ndoa yako...hakika utajutia kumfanyia hivyo huyo binti...
 
Hakika hutakaa usamehewe ..chozi la huyo mwanamke litakutafuta popote pale ulipo...hutadumu katika mahusiano yako hata kidogo....utateseka sana kwenye ndoa yako...hakika utajutia kumfanyia hivyo huyo binti...
Binti wa kirombo,

Ndio unanipa laana?

Ingawa laana kwangu is just a illusion thing so I don't *** with it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…